Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Mkuu tupia hiyo CV hapa ili tujiridhishe!Nimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupia hiyo CV hapa ili tujiridhishe!Nimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni
NiiceKipo Nairobi!
Uhalisia vipi babu, kama nataka kutumia kiswahili je? Mbona south Afrika tunaiita Afrika kusini? USA - marekani...yote sawa tuu John ndio Yohana kwa kiswahili!!Wewe unatafsiri majina lakini kiuhalisia St John University siyo Chuo kikuu cha Mtakatifu Yohana labda kama kilisajiliwa kwa majina mawili!
True ni St John ya Dodoma na jioni wanatoa Degree hapa Dar office Yao ni St Mark. Najua watu waliosoma hapo bado hakuna shortcut sijui Kwa SASA.