samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Hili si jina la kitabu agano jipya Yohana au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 yaani Yohana kama Yohana, mimi ninayemjua ni Yohana Mbatizaji sijawahi kusikia mwingine....Nimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni.
Nimejaribu kutafuta hicho chuo kinachojulikana kama "Yohana Iniversity" kama mwenzetu alivyoandika nimekikosa.
Naomba msaada kwa anayejua Yohana university ilipo anisaidie nikaangaliepo ngekewa na mimi.
MATAGA bana kweli mziki TPDC angeweza ? Waache siasa za kitoto
Watu wa kuogopwa ni wale watu wenye guts za kufa mtu waliopenyeza jina lake Hadi likatangazwa...dah...Yohana si John.
Itakuwa St.John ya Dodoma
Kavunja rekodi ya bashiru?Huyu ndio raia aliyedumu muda mfupi katika kazi ya kuteuliwa
Kiko ccm lumumba jengo la umoja wa vijanaNimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni.
Nimejaribu kutafuta hicho chuo kinachojulikana kama "Yohana Iniversity" kama mwenzetu alivyoandika nimekikosa.
Naomba msaada kwa anayejua Yohana university ilipo anisaidie nikaangaliepo ngekewa na mimi.
😂 😂😂😂😂😂 mkurugenzi mstaafu atapangiwa majukumu mengine, huenda hii ni kiki atakuwa KM CCM.Katiba inasemaje kuhusu mafao yake au yatatumwa hukohuko uvccm
Kwani bashite au Juliana Shonza alimaliza mwaka gani? Hivi kwanini form four failures hushindwa ku reason japo kwa common sense?Dogo alimaliza 2013 . 2017 DSO.
DUH
Daaah! Msituingize wahaya kwenye mdahalo wenu.acha ujinga
Ipo Tandale kwa TumboNimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni.
Nimejaribu kutafuta hicho chuo kinachojulikana kama "Yohana Iniversity" kama mwenzetu alivyoandika nimekikosa.
Naomba msaada kwa anayejua Yohana university ilipo anisaidie nikaangaliepo ngekewa na mimi.
Hatari snKwani bashite au Juliana Shonza alimaliza mwaka gani? Hivi kwanini form four failures hushindwa ku reason japo kwa common sense?
Yap kastaafuHahahahaha, eti mkurugenzi mstaafu...
Hata kitasa cha mlango wa ofisi hajui jinsi kinavyofanana
Mi najiuliza ilikuaje akafukuzwa chuo kisa vurugu!. inamaana alikuwa bado hajawa mzee wa suti nyeusi!Huyu kutokana na ukatekesta wake akaona kutumia Yohana badala ya John si mbaya kwa sababu Yohana alimbatiza Jesus.
Ili nae aonekane smart Kumbe ameshawahi kutishia kuuwa huko bungeni
Vitu kama hivi huwasababishia hata walimu waliomfundisha darasani waishi wakiwa matumbo joto.Mi najiuliza ilikuaje akafukuzwa chuo kisa vurugu!. inamaana alikuwa bado hajawa mzee wa suti nyeusi!