Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #141
Manara Numbisa plz toa neno kuhusu hili Shadeeya yuko kimya naona kazi za kiofisi zimemtingaPia ndugu Bujibuji amerudishwa kikosini kwani ni kiungo wetu tegemezi.
Licha ya utovu wa nidhamu.. Lakini ni kiungo mwenye kipaji cha Hali ya juu. Ikiwemo ni uwezo wake wa kupiga mashuti makali..
Hiyo ni baada ya mashabiki wengi kudai Bujibuji arudishwe kabla ya mechi kesho kwani ni mtu muhimu..
Stay tune
Unawezaje kubadiri jina bila kunishirikisha
Asante sana ndugu msemaji unafanya kazi yako vyema pia sambaza hii mechi yetu itatangazwa hapa live ifikapo saa kumi alasiri..keshoUnaambiwa hivi kikosi cha JF ni motooo usipime. Kimekamilika kila idara ila tu kuna marefa waonevu balaa bora buji buji karudishwa kuongeza nguvu kwenye timu iliyodhoofishwa na hali ya hewa na wingu kubwa la ukosefu wa mambando na usomaji wa namba usiotabirika
[emoji16][emoji16] wewe huwa unabadili mara ngapiUnawezaje kubadiri jina bila kunishirikisha
Familia gani hii sasa tutaanzisha kama kila mtu analipiza
Dawa ni kujisahihisha tu tuanze kushirikishanaFamilia gani hii sasa tutaanzisha kama kila mtu analipiza
Umebadilisha I'd mamii
Jamaa ilikuwa imebaki kidogo nimtoe meno anakula kama mchwa.Update.
Umezuka ugomvi kati ya Da'Vinci na mpishi wa team Hawachi .
Chanzo kikiwa ni Da'Vinci kulalamika kuwa Hawachi kamuwekea msosi mdogo.. Na kudai aongezewe msosi kwani amefanya mazoezi makali..!
Hawachi aligoma na kudai kuwa Da'Vinci tumbo lake lina shimo ndani..
Hapo ukazuka ugomvi mkubwa na mabaunsa wa team Castr na team yake wakaja kutuliza ghasia..
Mchezaji alijaziwa shendele Kama alivyodai
aiseeeeZikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...
Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki5: rikiboy na sub yake mkwepu jr
namba 6 Da'Vinci
namba 7 CONTROLA
namba 8: Bujibuji
Namba9: Zero IQ
Namba 10: troublemaker
Namba 11 MLEVi Mmoja
Sub Hazard CFC
Nokia83
funzadume
Bitoz
Sesten Zakazaka
@icebreaker
James Comey
Benchi la ufundi..
Kocha mkuu _ Asprin
Kocha msaidizi_ Kiranga
kocha wa viungo Mwl.RCT
Kocha wa viungo 2. Don Clericuzio
Wasemaji wa team..
Matola
GuDume
Numbisa
Shadeeya
Kamati ya ufundi.. (ulozi)
Mshana Jr
Rakims
Wafadhili wa team.
Kiduku Lilo
Mikwara Ya Andunje
Tajiri Kichwa ,Tajiri mpole
Kamati ya hamasa..
Shunie
Miss Natafuta
manengelo
Depal
Sakayo
Mabaunsa wa team..
Castr
Pablo Blanco
Jon Stephano
Dokta wa team
Mwifwa
mweka hazina wa team.
Pascal Mayalla
Daby
Watu8
Mpishi wa team..
Sky Eclat
Zesh
Mzigua90
Hawachi
Kitengo cha figisufisu bila ulozi.
MO11
joanah
Billie
Kichwa Kichafu
Viatu vya Samaki.
Ushimen
Wazee wabishi wa team (wapigaji
FaizaFoxy
mlinzi wa getini makao Makuu.
MKWEPA KODI
MAGALLAH R[/USER
update :
Baada ya mshahara kutolewa kutoka bodi ya wadhamini wetu inayoongozwa na nduguy [USER=27118]Kiduku uongozi umeahidi ikiwa kesho saa kumi team itashinda mechi.. Basi tuu tutapelekwa Ibiza tukale bata..
Hayo yameahidiwa na ndugu Kiduku Lilo mwenyewe..
Asante sana ndugu msemaji unafanya kazi yako vyema pia sambaza hii mechi yetu itatangazwa hapa live ifikapo saa kumi alasiri..kesho
do the needful mkuu.aiseeee
Hahahaha Wewe hupendi kula etiJamaa ilikuwa imebaki kidogo nimtoe meno anakula kama mchwa.
Kama unajua dawa kwann hujanishirikisha
Manara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772]Hahaha aisee eti manara. Kama msemaji nasema kaonewa mpira miguuni mengine vikorombwezo tu. Angepewa onyo mara tatu
Pia niongezee kila atakayeingia kichwa kichwa kwa namna yeyote ile basi ni lazima tumkalishe.Unaambiwa hivi kikosi cha JF ni motooo usipime. Kimekamilika kila idara ila tu kuna marefa waonevu balaa bora buji buji karudishwa kuongeza nguvu kwenye timu iliyodhoofishwa na hali ya hewa na wingu kubwa la ukosefu wa mambando na usomaji wa namba usiotabirika
Naoana umeamua kunipakazia..hahaJamaa ilikuwa imebaki kidogo nimtoe meno anakula kama mchwa.
Tafadhali msiamini haya ni maneno yanayoenezwa na upinzani..Update.
Umezuka ugomvi kati ya Da'Vinci na mpishi wa team Hawachi .
Chanzo kikiwa ni Da'Vinci kulalamika kuwa Hawachi kamuwekea msosi mdogo.. Na kudai aongezewe msosi kwani amefanya mazoezi makali..!
Hawachi aligoma na kudai kuwa Da'Vinci tumbo lake lina shimo ndani..
Hapo ukazuka ugomvi mkubwa na mabaunsa wa team Castr na team yake wakaja kutuliza ghasia..
Mchezaji alijaziwa shendele Kama alivyodai