Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Huyo ni wa Bongo Magic mkuu usijisumbue.Ubatafuta ubishi, tusumbuane kwenye keyboard😂😂
💩💩💩
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni wa Bongo Magic mkuu usijisumbue.Ubatafuta ubishi, tusumbuane kwenye keyboard😂😂
💩💩💩
Nashukuru mkuuHuyo ni wa Bongo Magic mkuu usijisumbue.
Ukiacha Youssouf Hadji, alikuwepo pia huyo niliyemtaja tena walikuwa wanacheza na Mustapha timu ya Coventry...
Naye alikuwa na nywele anafunga usinga kwa nyuma...
Algeria alifika lini nusu fainali ya WC?Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.
Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa
Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.
Kubali msikubali,Morocco ndo Bora ya muda wote.Nafikiri Cameroon ya 1990 ndio ilikuwa timu bora zaidi ya muda wote serious tough Roger Milla, Emmanuel Kunde, Cyril Makanaky, Kana Biyik, Thomas Nkono, Tataw, Mbouh, Oman Biyik, Mfede, Ndip, Massing.