Kikosi Kazi Kazini (KK), Weusi jipangeni

Kikosi Kazi Kazini (KK), Weusi jipangeni

Tatizo ni uwezo,wale majamaa walikuwa wanafanya show Canada, France na nchi kibao za ulaya.

Mi naamini hawa KKK waweze kuja na style za kisasa ili waweze kuwafunika weusi , maana weusi kinachowabeba wanaenda na upepo wa soko ila hawa wao ni kama bado wanapiga ngumu kumeza ambayo ndo real hip hop
Wamewezaji ku-kiki wakati wapo wengi?

Kumbe wingi sio tatizo, tatizo ni uwezo
 
Weusi kubebwa na media sio story mpya hilo linafahamika halihitaji mjadala.

Tujadili uwezo wa mashairi kati ya haya makundi mawili

Natoa challenge kati ya nyimbo mbili zilizofanywa na kikosi kazi halafu suggest ngoma ya weusi unayoona inaweza ika battle na hizi ngoma
Mziki siyo mashairi tu, ni full package kuanzia muonekano, delivery ya hayo mashairi, production, kama ni kundi chemistry baina ya hao wanakikundi wakati wa kufanya kazi. Unaweza kuwa na mashairi makali lakini njia ya kuyawasilisha kwa hadhira ikawa mbovu na ujumbe usiwafikie watu wengi, na hapo kazi ya sanaa itakuwa imefail.
 
Kikosi kazi kama ingekuwa reggae basi wao wanapiga roots ila weusi wanapiga mahadhi ya riddims(mseto)!

Sema kwa mileage itawachukua muda sana kikosi kazi kutoboa maana mashabiki wa category ya hiphop ngumu ni wengi ila ambao wako willing kuchangia shows ama kununua album ni wachache mno. Yani wenye muamko na ku fund shows ni sehemu ndogo sana ya mashabiki.

Nadhani baada ya kuliona hili ndio Joh Makini alihamia kwenye hybrid rap ila naona amezingua zaidi maana hata mie nimemvua nyota. Sio kwa nyimbo kama mdundiko 😂😂😂
 
Mziki siyo mashairi tu, ni full package kuanzia muonekano, delivery ya hayo mashairi, production, kama ni kundi chemistry baina ya hao wanakikundi wakati wa kufanya kazi. Unaweza kuwa na mashairi makali lakini njia ya kuyawasilisha kwa hadhira ikawa mbovu na ujumbe usiwafikie watu wengi, na hapo kazi ya sanaa itakuwa imefail.
Hip hop ina nguzo zake mzee huwezi ukasimama ukasema ngoma flani ni ya hip hop wakati haina lyrical kwa kigezo cha kudai mziki sio mashairi

Unaposema 'Muonekano" unamaanisha kila ngoma ifanyiwe video kitu ambacho sio lazima kuna ngoma kibao zime hit na hazina video je huo muonekano utauonea wapi na mbona zimeuza?

"Mashairi matamu halafu ukashindwa kuyawasilisha" vipi wale wenye mashairi mabaya na wameyawasilisha ukiambiwa utoe marks nani mkali utasema nani?

Mfano mzuri nyimbo ya 2pac no changes imezidiwa views na nyimbo ya lil pump gucci gang. Kwa tafsiri yako uliyopendekeza wewe utasema lil pump ni mkali kuliko pack
 
Hip hop ina nguzo zake mzee huwezi ukasimama ukasema ngoma flani ni ya hip hop wakati haina lyrical kwa kigezo cha kudai mziki sio mashairi

Unaposema 'Muonekano" unamaanisha kila ngoma ifanyiwe video kitu ambacho sio lazima kuna ngoma kibao zime hit na hazina video je huo muonekano utauonea wapi na mbona zimeuza?

"Mashairi matamu halafu ukashindwa kuyawasilisha" vipi wale wenye mashairi mabaya na wameyawasilisha ukiambiwa utoe marks nani mkali utasema nani?

Mfano mzuri nyimbo ya 2pac no changes imezidiwa views na nyimbo ya lil pump gucci gang. Kwa tafsiri yako uliyopendekeza wewe utasema lil pump ni mkali kuliko pack
It is either unafanya sanaa wasikilize watu ama unafanya ili ukasikilize mwenyewe na watu wake. Hakuna kitu kisichobadirika, hata beats za wana hiphop wa siku hizi zimebadirika siyo kama za miaka ya 90.
If you live in the past the future will never find you. Changes ni bonge la ngoma ndiyo wimbo wangu namba moja toka kwenye nyimbo za 2pac, na kumbuka ile ni new version mpya ya huo huo wimbo aliorekodi mwaka 92.
 
Tatizo ni uwezo,wale majamaa walikuwa wanafanya show Canada, France na nchi kibao za ulaya.

Mi naamini hawa KKK waweze kuja na style za kisasa ili waweze kuwafunika weusi , maana weusi kinachowabeba wanaenda na upepo wa soko ila hawa wao ni kama bado wanapiga ngumu kumeza ambayo ndo real hip hop
Umeiskiza ngoma ya sala lakini?
 
It is either unafanya sanaa wasikilize watu ama unafanya ili ukasikilize mwenyewe na watu wake. Hakuna kitu kisichobadirika, hata beats za wana hiphop wa siku hizi zimebadirika siyo kama za miaka ya 90.
If you live in the past the future will never find you. Changes ni bonge la ngoma ndiyo wimbo wangu namba moja toka kwenye nyimbo za 2pac, na kumbuka ile ni new version mpya ya huo huo wimbo aliorekodi mwaka 92.
Unajua ukishachagua kua dereva basi hakikishe hauingilii majukumu ya konda

Huwezi kujinadi we ni hip hop na wakati hufati misingi ya hip hop, hicho ni kituko.

Vile vile kila mdau ana-interest yake ya mziki hivyo kuikosoa category ya mziki ambao wewe huupendi kwa kuwataka waimbe kama nyimbo ulizozizoea kusikiliza hapo utakua unakosea

Mbona tamaduni karibia wote pale kwa mmoja mmoja wana ngoma zao zenye beats kali tu. Mfano nikki mbishi nimekumiss, p mawenge corona, songa umiza ndonga nk.

Au katika hizi ngoma mbili walizoziachia unaweza kutoa kasoro beats gani?
 
Kikosi kazi kama ingekuwa reggae basi wao wanapiga roots ila weusi wanapiga mahadhi ya riddims(mseto)!

Sema kwa mileage itawachukua muda sana kikosi kazi kutoboa maana mashabiki wa category ya hiphop ngumu ni wengi ila ambao wako willing kuchangia shows ama kununua album ni wachache mno. Yani wenye muamko na ku fund shows ni sehemu ndogo sana ya mashabiki.

Nadhani baada ya kuliona hili ndio Joh Makini alihamia kwenye hybrid rap ila naona amezingua zaidi maana hata mie nimemvua nyota. Sio kwa nyimbo kama mdundiko 😂😂😂
Na ndio maana kichwa cha mada nimeandika Kikosi kazi waja kivingine

Niambie katika hizo ngoma mbili unaitoa ipi kasoro?
 
Mahs
Unajua ukishachagua kua dereva basi hakikishe hauingilii majukumu ya konda

Huwezi kujinadi we ni hip hop na wakati hufati misingi ya hip hop, hicho ni kituko.

Vile vile kila mdau ana-interest yake ya mziki hivyo kuikosoa category ya mziki ambao wewe huupendi kwa kuwataka waimbe kama nyimbo ulizozizoea kusikiliza hapo utakua unakosea

Mbona tamaduni karibia wote pale kwa mmoja mmoja wana ngoma zao zenye beats kali tu. Mfano nikki mbishi nimekumiss, p mawenge corona, songa umiza ndonga nk.

Au katika hizi ngoma mbili walizoziachia unaweza kutoa kasoro beats gani?
Hakuna kisichobadilika, hivyo ni ajabu kujifanya mwana hip hop kuliko ilikoanzia, si ajabu ukute mbongo ana mdiss labda Joe kwa michano, mavazi na mengine halafu huyo huyo anamsifia Kanye, 50Cent, Jay Z.
Mziki ni biashara, either unaifanya biashara kwa kufanya mziki in a sense kwamba utawafikia wengi na message yako ifikie hadhira. Kuimba message ya maana halafu haifikii watu wengi haina maana, ni sawa na mtu wa kwanza aliyetengeneza gari Bwana Karl Benz, aliifungia ndani akiogopa kuliendesha hivyo hakuna aliyejua kuhusu uvumbuzi wake, mpaka mkewe alipolichukua pasipo yeye kujua na kuliendesha akienda umbali mrefu kumtembelea ndugu yake.
Mashairi mazuri bila beats, flow nzuri hayafiki mbali. Generation ya sasa siyo ya miaka ya 90 inabidi kuzingatia hilo ndiyo maana miziki ya funk hakuna leo.
 
Hakuna kisichobadilika, hivyo ni ajabu kujifanya mwana hip hop kuliko ilikoanzia, si ajabu ukute mbongo ana mdiss labda Joe kwa michano, mavazi na mengine halafu huyo huyo anamsifia Kanye, 50Cent, Jay Z.
Mziki ni biashara, either unaifanya biashara kwa kufanya mziki in a sense kwamba utawafikia wengi na message yako ifikie hadhira. Kuimba message ya maana halafu haifikii watu wengi haina maana, ni sawa na mtu wa kwanza aliyetengeneza gari Bwana Karl Benz, aliifungia ndani akiogopa kuliendesha hivyo hakuna aliyejua kuhusu uvumbuzi wake, mpaka mkewe alipolichukua pasipo yeye kujua na kuliendesha akienda umbali mrefu kumtembelea ndugu yake.
Mashairi mazuri bila beats, flow nzuri hayafiki mbali. Generation ya sasa siyo ya miaka ya 90 inabidi kuzingatia hilo ndiyo maana miziki ya funk hakuna leo.
Kwaiyo kuimba ujinga unaowafikia watu wengi mpaka wengine wakapotoka ndio mziki sahihi?

Kila kitu ni biashara so ukiona we hununui usiseme biashara haiuzi au muuzaji hauzi. Kwasababu kama wao wangekua wana face changamoto kama hizi unazofikiria wewe basi wangebadili kama alivyofanya madee na joh. Lakini ukiona wamekomaa ujue kuna kitu ambacho wanakipata katika huo mziki sa ukisema hawauzi unakua unakosea

Kwani msanii anatakiwa auze shingapi ndio aonekane kafanya mziki wa biashara?
 
Kwaiyo kuimba ujinga unaowafikia watu wengi mpaka wengine wakapotoka ndio mziki sahihi?

Kila kitu ni biashara so ukiona we hununui usiseme biashara haiuzi au muuzaji hauzi. Kwasababu kama wao wangekua wana face changamoto kama hizi unazofikiria wewe basi wangebadili kama alivyofanya madee na joh. Lakini ukiona wamekomaa ujue kuna kitu ambacho wanakipata katika huo mziki sa ukisema hawauzi unakua unakosea

Kwani msanii anatakiwa auze shingapi ndio aonekane kafanya mziki wa biashara?
Basi sawa
 
Weusi wameharibu hip hop ya Chuga wamekalia kuimba upumbavu wao wa Brazilian hair na kupaka poda huku wakirembua macho kwny shootings.

Jinga sana wale.
 
Hivi Extra Musica ya Congo ilikuwa na watu wangapi?
UFAFANUZI: Extra Musica lilikuwa na watu wengi lakini kiongozi mkuu alikuwepo. Na lile kundi lilivunjika kutokana na ujuaji mwingi wa members kama ilivyokuwa BCBG. Hilo grupu la kina Nikki Mbishi halina tofauti na hayo makundi mawili ya muziki wa dansi yaliyovunjika kutokana na uwepo wa mafahali wengi. Tamaduni music lina vipaji vingi lakini kudumu kwake ni changamoto kubwa sana. Tujipe muda
 
Back
Top Bottom