Kikosi Kazi Kazini (KK), Weusi jipangeni

Kikosi Kazi Kazini (KK), Weusi jipangeni

Tamaduni hawafanyi mziki wa kutafuta pesa, wanafanya ili kuwafurahisha nyie ambao wengi wenu hamnunui kazi zao. Niambie product gani umenunua kutoka kwao.
Umeanza kwa conlusion kwamba tamaduni "hawafanyi muziki wa kutafuta pesa" sa inakuaje unaniuliza tena kama nishawahi kununua kazi zao wakati umekiri kua hawafanyi biashara?

Product gani kutoka kwao wanaiuza na wakati umesema hawafanyi biashara?
 
Kwenye Sala kikozi kazi wameniangusha..very basic flow and delivery.

Ile ngoma ya kwanza ilikuwa safi sanaaa
Mbona ngoma iko conciuos sana, au mistari ya nani pale unaiona iko weak?

Au ulitaka sala iwe na vibe kama ya fanya wewe?
 
Mbona ngoma iko conciuos sana, au mistari ya nani pale unaiona iko weak?

Au ulitaka sala iwe na vibe kama ya fanya wewe?

Ni mtazamo binafsi tu mkuu...nilikubali sana ngoma ya kazini.

Mtatunza culture gani, Rapcha...au ni ya kufuga rasta.

we are after money, haturap ili kukuza cv, mpo chapter one. Mnapaswa kuogeza bidii. hatusound the same tupo different

Mnarap kama madem, hamna reference.
 
So kikundi cha wahuni VS Company inayofanya biashara ya muziki.
Namuona Stereo,kwani kule wasafi ilikuwaje!? Ameacha kufanya diss na watoto wa kike.
Hahaa na huyo mbishi mbona kama nikki....
 
  • Thanks
Reactions: Gef
weusi hawafanyi hip hop sio kwamba hawaiwezi bali wanafanya kile fans wananunua

msinge ikubali gere wasinge waletea swaggire

kikosi kazi ni wazuri kwa hip hop but kuna watu wanafanya waonekane hamna kitu kama azma,one incredible, na wengine wanaonekana ni wabinafsi.

but kwa upande wangu k.k.k ni nouma napenda vile zaiid anachana
 
Ulitugombanisha na kunguru wa zenji, ila poa maana tuliwabonyeza kishenzi.../ (Zaiid)

#Miss2020

 
Back
Top Bottom