Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitamani...Nauliza ni dhambi ipi inakuwa imetendwa ikiwa umeoa zaidi ya mke moja kama kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k.
Kabla ya Kristo wako sawaKwa hio nao kina Musa walizini ?
Mwanaume mzinzi hatosheki kwa kuoa wake wengiKitu wakristo walikosea na kukataza mwanaume kuwa na wake zaidi ya mmoja, imechangia sana kuharibu muundo familia, mke lazima awe na bimdogo wa kumchallenge. Hata watoto nao wanajitahidi kuwa best versions of themselves wakishindana na watoto wa wake wengine. Ila siku hizi zero tu
Bila mke mdogo kumchallenge bni mkubwa mambo Hayaendi smooth?Kitu wakristo walikosea na kukataza mwanaume kuwa na wake zaidi ya mmoja, imechangia sana kuharibu muundo familia, mke lazima awe na bimdogo wa kumchallenge. Hata watoto nao wanajitahidi kuwa best versions of themselves wakishindana na watoto wa wake wengine. Ila siku hizi zero tu
Hao wanaume wenye nguvu za Simba za kuwamudu wake hao kwa stress hizi za maisha na kushindia chips wapo wapi siku hizi kama mke mmoja tu hoi hadi usaidizi wa mabodabodaNi hadi mwanaume awe mzinzi na si kila mwanaume ni mzinzi,
Kuoa wake wengi inaondoa uzinzi.Mwanaume mzinzi hatosheki kwa kuoa wake wengi
Kama kipato kinaruhusuwapo wanaotaka kuijaza dunia mtu ana moango wa kuwa na watoto wengi