Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Hado sijafika umri wa kuoa ila nikija kuwa na uwezo naoa mke zaidi ya mmoja japo mkristo, hizi sheria watu walijewekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza ngono sana.Kitu wakristo walikosea na kukataza mwanaume kuwa na wake zaidi ya mmoja, imechangia sana kuharibu muundo familia, mke lazima awe na bimdogo wa kumchallenge. Hata watoto nao wanajitahidi kuwa best versions of themselves wakishindana na watoto wa wake wengine. Ila siku hizi zero tu
Busara za wamisionari tuJe ni dhambi kuoa mke zaidi ya moja ?
Kama ni dhambi, hio ni dhambi ipi waliyoitenda pia kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k. kwa kuoa zaidi ya mke moja ?
Acha kuwaza ngono kijana. Kwanini umtishie mwanamke utamuacha kwa kuoa mke mwingine ili ajirekebishe? Hakuna mafundisho mengine ambayo tofauti na kufanya ngono na mwanamke mwingine ajirekebishe?mwanamke akijua muda wowote waweza kumletea mwenzie basi hata tangu akiwa kwao mama yake atamuasa sana na kumpa mafundisho kuishi na mume, ila akijua milango yote imefungwa hata mafundisho anaweza kupuuzia maana anajua mpo sawa tu
Wewe ndio uache kuwaza ngono kwa kudhani kuongeza mke ni kuhusu ngono pekee.Acha kuwaza ngono kijana. Kwanini umtishie mwanamke utamuacha kwa kuoa mke mwingine ili ajirekebishe? Hakuna mafundisho mengine ambayo tofauti na kufanya ngono na mwanamke mwingine ajirekebishe?
Acha kuwaza ngono kijana. Unawaza, akienda mbali utafanya ngono na nani. Haujawaza mtoto au watoto watabaki nani ila umefikiria ngono. Unaweza kukaa mwaka mmoja au miwili bila kufanya ngono?Wewe ndio uache kuwaza ngono kwa kudhani kuongeza mke ni kuhusu ngono pekee.
Kuoa mke zaidi ya moja unakuwa umeheshimisha wanawake wajulikane wana ndoa
Kuoa mke zaidi ya moja wanaweza kukupa watoto wengi zaidi "enendeni mkaijaze dunia"
Kuoa mke zaidi ya moja hupooza tamaa ya kuzini pale moja anapokuwa kapata kazi ulaya wewe upo Namtumbo
Hakuna dhambi, kinachoenda mbinguni ni roho siyo mwili na ndiyo maana hata mbinguni hutakutana na mke wako unayemuita wa ndoa. Hivyo oa hata wake 100 as long as unaweza kuwahudumia no problem.Je ni dhambi kuoa mke zaidi ya moja ?
Kama ni dhambi, hio ni dhambi ipi waliyoitenda pia kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k. kwa kuoa zaidi ya mke moja ?
Mkuu Randy Orton nakukumbushia tu huu uzi hapa chini uliuleta wewe. Inaelekea hili swala linakugusa sana.Je ni dhambi kuoa mke zaidi ya moja ?
Kama ni dhambi, hio ni dhambi ipi waliyoitenda pia kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k. kwa kuoa zaidi ya mke moja ?
Ndo ukweli huo, wanawake wanatafuta ndoa ila wanaume wa kuwaoa wapo wachache, matokeo yake wanashinda makanisani kusubiria miujiza ambayo kwa hesabu za uchache wa wanaume haiwezekaniMkuu Randy Orton nakukumbushia tu huu uzi hapa chini uliuleta wewe. Inaelekea hili swala linakugusa sana.
Ndoa ya wake wengi iruhusiwe kwenye ukristo kuokoa kizazi cha wanawake ambao wanazeeka makanisani bila waume
Ndoa ya wake wengi inahusu zaidi kumsitiri mwanamke awe na ndoa ajulikane ni mke wa fulani kuzidi mwanaume kuwa na wake wengi. Leo hii wanawake wengi wa kikristo ni kawaida kuwakuta wanazeekea makanisani huku wakiomba wapata waume kitu ambacho ni kigumu kwasababu wanaume tupo wachache na wenye...www.jamiiforums.com
Hakuna mwanamke anayeona heshima ni kuolewa mke wa pili unajidanganya, kila mwanamke anapenda mume wake mwenyewe...Ndo ukweli huo, wanawake wanatafuta ndoa ila wanaume wa kuwaoa wapo wachache, matokeo yake wanashinda makanisani kusubiria miujiza ambayo kwa hesabu za uchache wa wanaume haiwezekani
kuna utofauti wa unchopenda na unachostahili. Unaweza kupenda uwe unakula peke yako lakini ni vema ukileta chakula nyumbani ule na wenzako.Hakuna mwanamke anayeona heshima ni kuolewa mke wa pili unajidanganya, kila mwanamke anapenda mume wake mwenyewe...
Sio heshima kuolewa mke wa pili...kuna utofauti wa unchopenda na unachostahili.
Hata Rais wetu ni mke wa tatu na imelinda heshima yake kwamba ana ndoa.
kila mwanamke awe na mme wake haiwezekani maana wanaume ni wachache kuzidi wanawake na wapo wanaume wachache zaidi wanaoweza kuoa.
unyanyasaji wa kijinsia ni mambo ya feminists hao waliochochea mambo ya usagaji.Sio heshima kuolewa mke wa pili...
Inachukuliwa ni unyanyasaji fulani wa kijinsia...
HAKUNA mwanamke anayependa kuolewa mke wa pili, hata huyo Rais hujui kama angekua na option ya kuwa na mume mmoja wa peke yake kama angechagua kuwa mke wa tatu??!
Nani kakwambia kila mwanamke ni lazima aolewe au kila mwanaume lazima aoe ???
Ni mambo ya feminists, kwa mtazamo wako, ila mwanamke ni kiumbe mwenye hisia, kugawana/kushare mtu unayempenda ni jambo gumu,..... kama wewe huwezi kumuona mkeo akizalishwa na mwanaume mwingine ndivyo na wanawake wanavyofeel, sasa ukiheshimu hisia hizi za wanawake huwezi kuja na ishu za kuoa wake wengine ndio maana tunasema ni unyanyasaji wa kijinsia....unyanyasaji wa kijinsia ni mambo ya feminists hao waliochochea mambo ya usagaji.
Kama kina Musa walioaminiwa kufanya mission kibao za Mungu walikuwa na wake wawili na Mungu hakukemea sehemu yoyote ni kwamba haina tatizo.
Kama mwanamke hataki hayo maamuzi yake, anaweza kufuga paka ampe kampani.
Cheti cha ndoa cha ndoa ipi?Uzuri wa Serikali yetu kwenye kile Cheri cha ndoa,wewe mwenyewe unachagua ni ndoa ya wake wangapi
Kabla hujauliza hilo swali,,Je ni dhambi kuoa mke zaidi ya moja ?
Kama ni dhambi, hio ni dhambi ipi waliyoitenda pia kina Musa, Lameki, Yakobo, Daudi, n.k. kwa kuoa zaidi ya mke moja ?