mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Si mmekaririshwa kuwa Yesu lazima auwawe ili misukule ipate kuokoka na dhambi. Sasa kwanini wachukiwe kwa kufanya jambo ambalo ulimwengu umeokaka kwa kuuwawa kwake?Waislamu hawakuwapokea ilikuwa niamri toka kwa British. Ila chaguo LA kwanza walitakiwa kupelekwa Uganda .baadae waka pendekeza Palestine.chuki ya waisrael dunian kote ilikuwa nikiwaona wao ndio walimuua yesu sasa mataifa yaliwachukia ndio mana Hitler alitaka kuwafuta kabisa.
Udini umekutafuna ubongo wako kiasi hujui hata unachokipostVideo ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.
Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza
Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:
View attachment 2849854
Alikwambia Nani waisrael ni wakristo??kwa nn unawachukia sana wakristo??unataka kila mtu awe muislam?
Nyie Nendeni Kwenye Pepo Yenu Ya Mikate Na Divai Sisi Tuacheni Na Mabikra Wetu 72 Peponi Ni Sehemu Ya Kustarehe Sio Sehemu Ya Kukabwa Na Mikate Mikavu,ni Wazi Bakhresa Ana Mikate Mitamu Kuliko Hata Ya Peponi KwenuHizi imani.. masheikh wamehukumiwa kunyongwa hakuna wa kuwatetea, wanatia huruma tu.
Wanadai wameonewa lkn mwanzo waliaminishwa watapata 72 bikras
ni kama nyie hapa duniani mumebariki ushoga mufaidi kweliWanajitekenya alafu wanacheka...kombe wanajipa wenyewe...
Dunian mnapeana makombe, ahera mabikra 72
Yumkini kitendo cha kufanya ngono kwa viumbe hai kiliwekwa kwa ajili ya kuzaliana ila utukutu wa binadamu ndiyo ukafanya wakione kama kitendo cha starehe mwisho Mungu akawafungia speed governor kwa kuweka ktk hiko kitendo magonjwa mbalimbali hatari.leo kuna ukimwi kuna kaswende kuna kufilisika kuna kuuwana kwa sababu ya ngono.Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?
Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?
Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
Dua za waislam duniani hizo.Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.
Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza
Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:
View attachment 2849854
Kwani wa israel ni wakristo?huko israel wakristo wenzenu wanaishi kama wakimbizi hata kuabudu wanashindwa hawatakiwi hata kuonekanakwa nn unawachukia sana wakristo??unataka kila mtu awe muislam?
Hawa jamaa hawa !.MashaAllah.Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.
Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza
Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:
View attachment 2849854
Teh! Akifa anaenda kufanya ngono na kina Osama bin ladenUnadhani yupi bora kati ya anayeenda kuimba mapambio na anayeenda kupigwa pvmbu?unaonekana unapenda sana ngono wewe na hivi unaonekana umeanza kuuingia uzee sijui wakati wa usichana wako ilikuwaje.
Yaani upigwe miti duniani na wanaume mbalimbali tena unasubiri ukapigwe na group la wengine 72 randomly huko kwa alah?
Kwa hiyo kuimba mapambio kuna raha gani, ww bosi wako akikwambia kuwa sintakulipa mshahara badala yake uniimbie mapambio siku mbili mfululizo bila kupumzika utakubali?Yumkini kitendo cha kufanya ngono kwa viumbe hai kiliwekwa kwa ajili ya kuzaliana ila utukutu wa binadamu ndiyo ukafanya wakione kama kitendo cha starehe mwisho Mungu akawafungia speed governor kwa kuweka ktk hiko kitendo magonjwa mbalimbali hatari.leo kuna ukimwi kuna kaswende kuna kufilisika kuna kuuwana kwa sababu ya ngono.
Leo hii wafugaji wanajua ng'ombe akionyesha dalili fulani anataka dume atiwe mimba na hawakosei,hata mkeo leo mkitaka kuengeza familia kuna tarehe zake na dalili zake mkifanya ngono matokeo mnayaona lakini mkifanya siku zisizokuwa za hatari hapati mimba,Mungu aliye makini hawezi kum-favour kiumbe wake starehe ya kipumbavu kama ngono labda hiyo ngono iwe ni tofauti na ninayoijua mimi ya kumuandaa mwanamke alainike u-pump jasho likutoke ukojoe ukatafute maji ukoge hiyo siyo starehe hayo ni mateso.
Wanne tu, tazama post #1 wameibuka wengine elfu nne, hao ni hatari kuliko Hamas.
Kaagalie Satanic verses tena
KoranHakuna Muislam anaemchukia Mkristo au wa dini nyengine yeyote yule. Uislam unatukataza kabisa hilo
Mimi nafikiri ktk medani za kivita haya lazima yatokee kila upande kudunga mwenzake kwa nyanja tofauti tofauti, sasa wao kuwatwanga wenzao na kuwanyanga silaha ktk vita ni jambo lazima liwepo. Sidhanii kama wao wapo tuu wana subiri Israel iwapige bila kujitetea lazima wapambane maana nao walijitayarisha na wanajua wanacho kifanya na ndio maana walianzisha mapambano ile siku ya tarehe 7, kikubwa nikuomba rehema za Mungu huu mzozo umalizike, vinginevyo ni madhara makubwa sana kwa wasio na upande hasa wamama na watoto wadogo.Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.
Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza
Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:
View attachment 2849854