Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Waislamu hawakuwapokea ilikuwa niamri toka kwa British. Ila chaguo LA kwanza walitakiwa kupelekwa Uganda .baadae waka pendekeza Palestine.chuki ya waisrael dunian kote ilikuwa nikiwaona wao ndio walimuua yesu sasa mataifa yaliwachukia ndio mana Hitler alitaka kuwafuta kabisa.
Si mmekaririshwa kuwa Yesu lazima auwawe ili misukule ipate kuokoka na dhambi. Sasa kwanini wachukiwe kwa kufanya jambo ambalo ulimwengu umeokaka kwa kuuwawa kwake?
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
Udini umekutafuna ubongo wako kiasi hujui hata unachokipost
 
Hizi imani.. masheikh wamehukumiwa kunyongwa hakuna wa kuwatetea, wanatia huruma tu.
Wanadai wameonewa lkn mwanzo waliaminishwa watapata 72 bikras
Nyie Nendeni Kwenye Pepo Yenu Ya Mikate Na Divai Sisi Tuacheni Na Mabikra Wetu 72 Peponi Ni Sehemu Ya Kustarehe Sio Sehemu Ya Kukabwa Na Mikate Mikavu,ni Wazi Bakhresa Ana Mikate Mitamu Kuliko Hata Ya Peponi Kwenu
 
Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?

Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?

Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
Yumkini kitendo cha kufanya ngono kwa viumbe hai kiliwekwa kwa ajili ya kuzaliana ila utukutu wa binadamu ndiyo ukafanya wakione kama kitendo cha starehe mwisho Mungu akawafungia speed governor kwa kuweka ktk hiko kitendo magonjwa mbalimbali hatari.leo kuna ukimwi kuna kaswende kuna kufilisika kuna kuuwana kwa sababu ya ngono.

Leo hii wafugaji wanajua ng'ombe akionyesha dalili fulani anataka dume atiwe mimba na hawakosei,hata mkeo leo mkitaka kuengeza familia kuna tarehe zake na dalili zake mkifanya ngono matokeo mnayaona lakini mkifanya siku zisizokuwa za hatari hapati mimba,Mungu aliye makini hawezi kum-favour kiumbe wake starehe ya kipumbavu kama ngono labda hiyo ngono iwe ni tofauti na ninayoijua mimi ya kumuandaa mwanamke alainike u-pump jasho likutoke ukojoe ukatafute maji ukoge hiyo siyo starehe hayo ni mateso.
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
Dua za waislam duniani hizo.
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
Hawa jamaa hawa !.MashaAllah.
Shukran kwa maendeleo ya kiteknolojia.Israel wameshindwa kuwakatia mujahidina intaneti.
 
Udini umekutafuna ubongo wako kiasi hujui hata unachokipost
Tazama wajomba wa mungu wako wanavyokimbizana hovyo, hawana raha ya maisha:

 
Unadhani yupi bora kati ya anayeenda kuimba mapambio na anayeenda kupigwa pvmbu?unaonekana unapenda sana ngono wewe na hivi unaonekana umeanza kuuingia uzee sijui wakati wa usichana wako ilikuwaje.

Yaani upigwe miti duniani na wanaume mbalimbali tena unasubiri ukapigwe na group la wengine 72 randomly huko kwa alah?
Teh! Akifa anaenda kufanya ngono na kina Osama bin laden
 
Yumkini kitendo cha kufanya ngono kwa viumbe hai kiliwekwa kwa ajili ya kuzaliana ila utukutu wa binadamu ndiyo ukafanya wakione kama kitendo cha starehe mwisho Mungu akawafungia speed governor kwa kuweka ktk hiko kitendo magonjwa mbalimbali hatari.leo kuna ukimwi kuna kaswende kuna kufilisika kuna kuuwana kwa sababu ya ngono.

Leo hii wafugaji wanajua ng'ombe akionyesha dalili fulani anataka dume atiwe mimba na hawakosei,hata mkeo leo mkitaka kuengeza familia kuna tarehe zake na dalili zake mkifanya ngono matokeo mnayaona lakini mkifanya siku zisizokuwa za hatari hapati mimba,Mungu aliye makini hawezi kum-favour kiumbe wake starehe ya kipumbavu kama ngono labda hiyo ngono iwe ni tofauti na ninayoijua mimi ya kumuandaa mwanamke alainike u-pump jasho likutoke ukojoe ukatafute maji ukoge hiyo siyo starehe hayo ni mateso.
Kwa hiyo kuimba mapambio kuna raha gani, ww bosi wako akikwambia kuwa sintakulipa mshahara badala yake uniimbie mapambio siku mbili mfululizo bila kupumzika utakubali?

Yakuwa mungu makini hawezi kukupa ngono kam starehe ila Mungu makini ni yule anaye wambia kuwa wayahudi ni binadamu bora kuliko nyinyi ,mungu makini ndo anaye watuma kushangilia mauaji ya watoto na wanawake wasio na makosa kisa yana fanywa wa taifa mnalo ita teule, Mungu makini ni yule aliye waambia mfirane?

Kwa hiyo ww na mkeo huwa mnafanya mapenzi mara moja kwa miaka 3 kwa ajili ya kupata mtoto tu, siku nyingine huwa mnatazamana tu?
 
Hakuna Muislam anaemchukia Mkristo au wa dini nyengine yeyote yule. Uislam unatukataza kabisa hilo
Koran
5;51. Enyi waislamu! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
9;23. Enyi waislamu! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Kuwa rafiki si lazima lakini kukutendea wema ni lazima kwani wewe mtaani kwako wote ni rafiki zako? Unaelewa maana ya urafiki
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
Mimi nafikiri ktk medani za kivita haya lazima yatokee kila upande kudunga mwenzake kwa nyanja tofauti tofauti, sasa wao kuwatwanga wenzao na kuwanyanga silaha ktk vita ni jambo lazima liwepo. Sidhanii kama wao wapo tuu wana subiri Israel iwapige bila kujitetea lazima wapambane maana nao walijitayarisha na wanajua wanacho kifanya na ndio maana walianzisha mapambano ile siku ya tarehe 7, kikubwa nikuomba rehema za Mungu huu mzozo umalizike, vinginevyo ni madhara makubwa sana kwa wasio na upande hasa wamama na watoto wadogo.
 
Back
Top Bottom