Allah alishindwa kuelewa starehe ya ngono iliwekwa ili watu wazaane ,Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?
Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?
Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
Mazayuni hawafi, hata wanapochapwa kambi zao. Wajomba zake mungu wa kina fulani watakufaje?Mimi nafikiri ktk medani za kivita haya lazima yatokee kila upande kudunga mwenzake kwa nyanja tofauti tofauti, sasa wao kuwatwanga wenzao na kuwanyanga silaha ktk vita ni jambo lazima liwepo. Sidhanii kama wao wapo tuu wana subiri Israel iwapige bila kujitetea lazima wapambane maana nao walijitayarisha na wanajua wanacho kifanya na ndio maana walianzisha mapambano ile siku ya tarehe 7, kikubwa nikuomba rehema za Mungu huu mzozo umalizike, vinginevyo ni madhara makubwa sana kwa wasio na upande hasa wamama na watoto wadogo.
Hapo unapoishi hakuna waislam? Hauna rafiki wa kiislamu?Koran
5;51. Enyi waislamu! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
9;23. Enyi waislamu! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
Kwani Kuna mahali yeye amesema anachumia wakristo???kwa nn unawachukia sana wakristo??unataka kila mtu awe muislam?