Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?

Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?

Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
Allah alishindwa kuelewa starehe ya ngono iliwekwa ili watu wazaane ,

Allah kazingua Sana 😂😂🤣
 
Mimi nafikiri ktk medani za kivita haya lazima yatokee kila upande kudunga mwenzake kwa nyanja tofauti tofauti, sasa wao kuwatwanga wenzao na kuwanyanga silaha ktk vita ni jambo lazima liwepo. Sidhanii kama wao wapo tuu wana subiri Israel iwapige bila kujitetea lazima wapambane maana nao walijitayarisha na wanajua wanacho kifanya na ndio maana walianzisha mapambano ile siku ya tarehe 7, kikubwa nikuomba rehema za Mungu huu mzozo umalizike, vinginevyo ni madhara makubwa sana kwa wasio na upande hasa wamama na watoto wadogo.
Mazayuni hawafi, hata wanapochapwa kambi zao. Wajomba zake mungu wa kina fulani watakufaje?

 
Hakuna kitu kibaya kama msongo wa mawazo (stress)

Dunia nzima inapiga kelele kuwa Israel ipunguze kipigo, afu wewe unatuambia sijui mambo ya kombe hapa!?
 
Koran
5;51. Enyi waislamu! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
9;23. Enyi waislamu! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
Hapo unapoishi hakuna waislam? Hauna rafiki wa kiislamu?

Kaka maneno ya m/mungu hayatafsiliwi kibubusa, tafuta watu wenye akili wakusaidie
 
kwa nn unawachukia sana wakristo??unataka kila mtu awe muislam?
Kwani Kuna mahali yeye amesema anachumia wakristo???
KWANI WAYAHUDI NI WAKRISTO???
NAVYOJUA MM ISRAEL IMEUA WAKRISTO WENGI SANA PIA HATA ISRAEL KUNA MAKANISA YAMEVUNJWA KIMAKUSUDI ILI KUJENGA MAKAZI YA ISRAEL SETTLERS.
 
Hiki kikoso cha Ghosts wa Quds ni hatari kabisa, kimebadili mchezo wote. Ama wayahudi waikimbie medani ya uso kwa uso warushe mabomu kwa mbali na ndege. Ambayo kinamna ypyoyte ile huwa hayamalizi vita au wasimamisha tu mapigano, wamepunguza sana wanajeshi wao Ghaza baada ya kuchezea kichapo cha Mizimu ya Quds, tazama wanavyodunguliwa:

 
Hiki kikoso cha Ghosts wa Quds ni hatari kabisa, kimebadili mchezo wote. Ama wayahudi waikimbie medani ya uso kwa uso warushe mabomu kwa mbali na ndege. Ambayo kinamna ypyoyte ile huwa hayamalizi vita au wasimamisha tu mapigano, wamepunguza sana wanajeshi wao Ghaza baada ya kuchezea kichapo cha Mizimu ya Quds, tazama wanavyodunguliwa:

View attachment 2850996
 
Back
Top Bottom