Hatujamumunya maneno hata kidogo.
Kwenye A tumeweka A.
Huu mkataba unaharufu ya ufisadi na moja kwa moja ni wazi kuwa rais Samia ana vinasaba vya waarabu anaoingia nao mkataba kwa maslahi yake na sio Tanganyika.
Kama ni maboresho iliatakiwa tukope pesa Wb na kuwekeza kwenye miundo mbinu na utalaamu. Cranes zipo, na utalaamu unapatikanika.
Chadema tupo vizuri japokuwa Mbowe anatuangusha sometimes