Kikundi cha Mamluki chaandaliwa kumshambulia Mbowe kwenye vyombo vya Habari kisa kaitaja Zanzibar kutohusika na Mkataba wa Bandari

Wewe hujawahi kuwa Chadema acha unafiki, kwanza Mbowe na Chadema hawakuwahi kulamba asali ni propaganda za Mitandaoni tu
 
Wewe hujawahi kuwa Chadema acha unafiki, kwanza Mbowe na Chadema hawakuwahi kulamba asali ni propaganda za Mitandaoni tu
Unajitoa fahamu? Mimi ni kamanda . Nimeteseka na kuumia kwa ajili ya chama changu toka kitambo. Unaijua ofisi ya Chadema pale Mwembe yanga jirani na Kisuma? Nimehangaika sana pale.
 
Wewe unaangushwa na mafisadi,mapapa ambao unawajua na huenda ni mtetezi wao kupitia kichaka unachojifichia cha ukamanda chokambaya😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…