Kikundi cha Mamluki chaandaliwa kumshambulia Mbowe kwenye vyombo vya Habari kisa kaitaja Zanzibar kutohusika na Mkataba wa Bandari

Kikundi cha Mamluki chaandaliwa kumshambulia Mbowe kwenye vyombo vya Habari kisa kaitaja Zanzibar kutohusika na Mkataba wa Bandari

..Kibajaji na Msukuma ndio wajibu hoja wa Ccm siku hizi.

..Katibu Mkuu Chongola alifanya ziara mkoani Iringa na wazungumzaji wakuu kujibu hoja za Chadema walikuwa Kibajaji na Lusinde.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Taarifa tulizonazo mpaka sasa ni kwamba kimeandaliwa kikundi cha dharura cha kumshambulia Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kwenye mitandao ya kijamii, redioni, barabarani, vichochoroni na kwenye TV na media zote.

Mamluki hao wameelekezwa kumshambulia Mbowe kwa kile kinachosemwa kwamba Ameibagua Zanzibar kwa KUFICHUA KWAMBA MKATABA WA KUUZA BANDARI HAUJAGUSA BANDARI ZA ZANZIBAR, bali zilizoguswa ni Bandari za Bara tu na kwamba aliyesaini mkataba huo ni Makame Mnyaa Mbarawa ambaye ni Mzanzibar, tena katika uongozi wa Rais aliyetokea Zanzibar.

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba miongoni mwa mamluki waliotangulizwa mbele kumshambulia Mbowe yumo Hamad Rashid, Lusinde, Msukuma na wengine kadhaa kutoka vyama vya Upinzani.

Bali tunachowaambia ni hiki, Mbowe hatobabaishwa na mashambulizi duni kama haya, tena kutoka kwa watu wasiojielewa kama waliotajwa hapo, ataendelea kusimamia ukweli bila kumung'unya maneno bila kujali mawe atakayorushiwa.

Wananchi wote wameelewa makando kando yote yaliyogubika Mkataba huu.

Mungu Ibariki CHADEMA.
Mnajihami kwa kujua amekosea matamshi au unatabiri yajayo?
 
Taarifa tulizonazo mpaka sasa ni kwamba kimeandaliwa kikundi cha dharura cha kumshambulia Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kwenye mitandao ya kijamii, redioni, barabarani, vichochoroni na kwenye TV na media zote.

Mamluki hao wameelekezwa kumshambulia Mbowe kwa kile kinachosemwa kwamba Ameibagua Zanzibar kwa KUFICHUA KWAMBA MKATABA WA KUUZA BANDARI HAUJAGUSA BANDARI ZA ZANZIBAR, bali zilizoguswa ni Bandari za Bara tu na kwamba aliyesaini mkataba huo ni Makame Mnyaa Mbarawa ambaye ni Mzanzibar, tena katika uongozi wa Rais aliyetokea Zanzibar.

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba miongoni mwa mamluki waliotangulizwa mbele kumshambulia Mbowe yumo Hamad Rashid, Lusinde, Msukuma na wengine kadhaa kutoka vyama vya Upinzani.

Bali tunachowaambia ni hiki, Mbowe hatobabaishwa na mashambulizi duni kama haya, tena kutoka kwa watu wasiojielewa kama waliotajwa hapo, ataendelea kusimamia ukweli bila kumung'unya maneno bila kujali mawe atakayorushiwa.

Wananchi wote wameelewa makando kando yote yaliyogubika Mkataba huu.

Mungu Ibariki CHADEMA.
hata wamshambulie vipi watz uko macho nchi yetu inaharibiwa na huu muungano.wazanzibar wanampango wa kuharibu nchi yetu kwa kuwaleta ndugu zao waliowatawala waarabu.mbowe si mbaguzi yuko sahihi kabisa,tanganyika ni ya watanganyika ni si ya wanzanzibari.wao waende wakaiuze nchi yao.kibajai,msukuma na huyo rashid ni mabwege tu.
 
hata wamshambulie vipi watz uko macho nchi yetu inaharibiwa na huu muungano.wazanzibar wanampango wa kuharibu nchi yetu kwa kuwaleta ndugu zao waliowatawala waarabu.mbowe si mbaguzi yuko sahihi kabisa,tanganyika ni ya watanganyika ni si ya wanzanzibari.wao waende wakaiuze nchi yao.kibajai,msukuma na huyo rashid ni mabwege tu.
Zitto anasema msiongee kibaguzi , ongeeni kizalendo
 
Hatujamumunya maneno hata kidogo.

Kwenye A tumeweka A.

Huu mkataba unaharufu ya ufisadi na moja kwa moja ni wazi kuwa rais Samia ana vinasaba vya waarabu anaoingia nao mkataba kwa maslahi yake na sio Tanganyika.

Kama ni maboresho iliatakiwa tukope pesa Wb na kuwekeza kwenye miundo mbinu na utalaamu. Cranes zipo, na utalaamu unapatikanika.

Chadema tupo vizuri japokuwa Mbowe anatuangusha sometimes
 
Hatujamumunya maneno hata kidogo.

Kwenye A tumeweka A.

Huu mkataba unaharufu ya ufiasdi na moja kwa moja ni wazi kuwa rais Samia ana vinasaba vya waarabu anaoingia nao mkataba kwa maslahi yake na sio Tanganyika.

Kama ni maboresho iliatakiwa tukope pesa Wb na kuwekeza kwenye miundo mbinu na utalaamu. Cranes zipo, na utalaamu unapatikanika.

Chadema tupo vizuri japokuwa Mbowe anatuangusha sometimes
Mbona mpo ITALY??! MNATUACHA WAPWEKE
 
Hatujamumunya maneno hata kidogo.

Kwenye A tumeweka A.

Huu mkataba unaharufu ya ufiasdi na moja kwa moja ni wazi kuwa rais Samia ana vinasaba vya waarabu anaoingia nao mkataba kwa maslahi yake na sio Tanganyika.

Kama ni maboresho iliatakiwa tukope pesa Wb na kuwekeza kwenye miundo mbinu na utalaamu. Cranes zipo, na utalaamu unapatikanika.

Chadema tupo vizuri japokuwa Mbowe anatuangusha sometimes
Modes plz heading isomeke... Chadema wameonyesha.. na sio Chadema tumeonyesha!! Mleta mada ni mwanaccm kindakindaki!!!
 
Makubaliano yote ambayo serikali inapitisha kwa style ya zimamoto bungeni yana vinasaba vya ufisadi wa viongozi wakuu wa serikali akiwemo Rais.
 
Hatujamumunya maneno hata kidogo.

Kwenye A tumeweka A.

Huu mkataba unaharufu ya ufisadi na moja kwa moja ni wazi kuwa rais Samia ana vinasaba vya waarabu anaoingia nao mkataba kwa maslahi yake na sio Tanganyika.

Kama ni maboresho iliatakiwa tukope pesa Wb na kuwekeza kwenye miundo mbinu na utalaamu. Cranes zipo, na utalaamu unapatikanika.

Chadema tupo vizuri japokuwa Mbowe anatuangusha sometimes
Wewe kilaza wa uvccm nani asiyekujua
 
Back
Top Bottom