Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeipenda hii๐๐Sisi kikundi chetu cha WhatsApp unajiunga kwa link.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hii๐๐Sisi kikundi chetu cha WhatsApp unajiunga kwa link.
Kiingilio chao bei gani?Uongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.
Unafikiri kila mtu ni fukara kama weweUongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.
Hao ni mabillionea, wana mabiashara makubwa..!!Just imagine mtu anaetoa 500m kama membership fee unafikiri yeye mwenyewe ana hela kiasi gani?
Cha kwetu sasa ๐ ๐ ๐ ๐ kikianza tu kinasambaratika ๐ ๐ ๐ na tuko Kilimanjaro๐Nikikumbuka cha kwetu ukingani million moja na laki tano nabaki nalia ๐ญ๐ญ๐ญ
Inshallah tutafika huko ๐คฃ๐น๐น
Wala usibishe watu wana pesa mkuu.!Uongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.
Tunacho cha mashangazi kila siku ugomvi wote tunazijua pesa..!! ๐น๐นCha kwetu sasa ๐ ๐ ๐ ๐ kikianza tu kinasambaratika ๐ ๐ ๐ na tuko Kilimanjaro๐
MashangaziTunacho cha mashangazi kila siku ugomvi wote tunazijua pesa..!! ๐น๐น
Tutafute Pesa Jamani zinaleta heshima, ukiwa huna Pesa ukienda ugenini wanakuletea Coca ya Moto na Biscuit za 200.๐๐ ๐ .Tunacho cha mashangazi kila siku ugomvi wote tunazijua pesa..!! ๐น๐น
Kabisa hata humu wapo , kuna mwamba mmoja yupo humu mpaka chopa anayo , ndio mtu nilijulia jf kwake ila sijawahi hata kuhisi I'd yake ni ipi๐คWala usibishe watu wana pesa mkuu.!
Hii utaona km chai ukiwa huna pesa ila kwa wenye nazo ni vitu vidogo.!!
Ndio, waliogoma kuolewa mayai wamelia chips ๐น๐น๐นMashangazi
Walikuheshimu wenzio wanapewa ice cream ya hamsini upate vichomi urudi kwenu ๐น๐นTutafute Pesa Jamani zinaleta heshima, ukiwa huna Pesa ukienda ugenini wanakuletea Coca ya Moto na Biscuit za 200.๐๐ ๐ .
maishapopoteMember wa hiki kikundi ni kina nani? Tuwekee majina yao
Kiingilio chenu sh ngp, kuna mshangazi hapa unaulizaNdio, waliogoma kuolewa mayai wamelia chips ๐น๐น๐น
Nimecheka sana Jamani ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Walikuheshimu wenzio wanapewa ice cream ya hamsini upate vichomi urudi kwenu ๐น๐น
Watu wana mawe, kuna bro kkoo mauzo kwa siku analaza 400mln.!!Kabisa hata humu wapo , kuna mwamba mmoja yupo humu mpaka chopa anayo , ndio mtu nilijulia jf kwake ila sijawahi hata kuhisi I'd yake ni ipi๐ค
Ukiwa huna Pesa kwenye Vikao vya familia ukitaka tu kuchangia hoja. Unakuwa unaonekana unataka kumpiga mtu๐ ๐ ๐ unatolewa nje ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Nimecheka sana Jamani ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Ngoja mimi nigange njaa tu asee๐Watu wana mawe, kuna bro kkoo mauzo kwa siku analaza 400mln.!!
Kuna mmama tunapiga naye umbea ila kkoo anamiliki ghorofa 5