Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Dini ya wenye msimamo mkali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lukarawa ni kikundi kilichoasisiwa huko Sokoto State Nigeria na kina Magaidi kutoka Nigeria Mali Burkina Faso na Niger.
Nigerian Armed Forces sasa hivi inapambana na Boko Haramu na kuzuka kwa kikundi hiki watakuwa wanapigana katika "two fronts"
Majihadi hao inasemeka idadi yao haijulikani lakini wanaweza kufika Magaidi elfu nane.
View: https://youtu.be/JUaMZr3myOw?si=nTMs18tBUr_CyHyl
TISS ya NIGERIA 🇳🇬 changamoto.
Kikwete angecheka na Uamsho tungevuna Mabua.
Cabo Delgado ni waasi wa RENAMO wale, na kiini cha yote hayo ni utawala mbaya uliopo huko Msumbiji ambao umesababisha migawanyiko ya kijamii.Angalia hapo Cabo Delgado , baada ya wafaransa kutia kambi na ugaidi ukaanza , hawa wapuuzi (wafaransa na washirika wao Britain na Marekani ) ni cancer
Anayewapa chakula na mafuta ya boda boda hawa ni nani?View attachment 3150326View attachment 3150327
Kikundi kipya cha Magaidi ya Lukarawa inasemekana ni hatari sana wanashindana na Boko Haramu jinsi ya kuua kikatili.
All of them are ideologically terroristsIdeologically moslems are terrorists! If not today, then tomorrow!
Sure tushukuru wale mashehe wazanzibar walivyodhibitiwa vyema na kikwete.Vyombo vya usalama vikalala kidogo tu nchi inateseka.
WaislamuDini gani hiko kikundi?
Kwanini sasa jaman...dahView attachment 3150326View attachment 3150327
Kikundi kipya cha Magaidi ya Lukarawa inasemekana ni hatari sana wanashindana na Boko Haramu jinsi ya kuua kikatili.
Tatizo lao lilikuwa ni nini ?Sure tushukuru wale mashehe wazanzibar walivyodhibitiwa vyema na kikwete.
Wafaransa na washirika wao ni washenzi na ndio chanzo cha instability Kwa kiasi kikubwa Africa ,we angalia tu nchi za kifaransa ,hawa washenzi ni nuksi ,na Mrusi kafanya kazi nzuri kuwafurusha hawa washenzi huko Bikinafasso ,Niger ,Mali , ugaidi hausikiki tena huko ,
Kwanini ninyi wapumbavu hamkai na kujiuliza hili swali , ugaidi umebaki chad ,ngome ya mfaransa na Nigeria ngome ya mmarekani na mwingereza na interests zao humo .
Mfaransa na influence yake Congo DRC ,vita haiishi huko ,natamani wanaume Wagner watie kambi Congo
Wale wengine ndio walikimbilia Msumbiji na kuanza kuchinja Raia wa Afrika.
Chokochoko na ugaidiTatizo lao lilikuwa ni nini ?
Inawezekana chanzo kikawa ni IranMichango inatokea Misikitini huko Saudi Arabia ndio maana MBS ameanza kudhibiti Misikiti huko.