Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Lukarawa ni kikundi kilichoasisiwa huko Sokoto State Nigeria na kina Magaidi kutoka Nigeria Mali Burkina Faso na Niger.

Nigerian Armed Forces sasa hivi inapambana na Boko Haramu na kuzuka kwa kikundi hiki watakuwa wanapigana katika "two fronts"

Majihadi hao inasemeka idadi yao haijulikani lakini wanaweza kufika Magaidi elfu nane.

View: https://youtu.be/JUaMZr3myOw?si=nTMs18tBUr_CyHyl

Hakuna jihadist wala nini, hivyo vikundi vya "wagawe uwatawale".
 
20241109_185835.jpg

Mzizi wa Fitina ni Quruani.
 
Inasemekana hao Islamic Jihadist wanashambulia Nigeria halafu wanavuka mpaka na kuingia Niger.

Target yao ni Wakristo na vyombo vya Dola ya Federal Republic ya Nigeria.
Inasemekana na nani magaidi wa kikafiri hao
 
Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapa
 
Lukarawa wanasema wanataka kuwa kama Hamas kuuwa Wakristo na Waigbo wa Nigeria.
 
Back
Top Bottom