Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ugaidi.. walikuja kutoka kipindi cha kikwete.Tatizo lao lilikuwa ni nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugaidi.. walikuja kutoka kipindi cha kikwete.Tatizo lao lilikuwa ni nini ?
Chokochoko kama ? Na huo ugaidi ni upi ?Chokochoko na ugaidi
Ugaidi upi ?Ugaidi.. walikuja kutoka kipindi cha kikwete.
Lukarawa ni kikundi kilichoasisiwa huko Sokoto State Nigeria na kina Magaidi kutoka Nigeria Mali Burkina Faso na Niger.
Nigerian Armed Forces sasa hivi inapambana na Boko Haramu na kuzuka kwa kikundi hiki watakuwa wanapigana katika "two fronts"
Majihadi hao inasemeka idadi yao haijulikani lakini wanaweza kufika Magaidi elfu nane.
View: https://youtu.be/JUaMZr3myOw?si=nTMs18tBUr_CyHyl
hao waafrika mpaka waundiwa vikundi na hizo nchi wauane kwani hawana akili? Tramp akiwatukana wasilalamikeMakundi yote ya Kigaidi ni Project za Marekani na Nchi za Kikristo za Ulaya hasa Ufaransa na Uingereza
mchaga kwa tamaa ya pesa anaweza.Chokochoko kama ? Na huo ugaidi ni upi ?
Unakubali kuwa Mbowe alipanga kufanya ugaidi nchini ?
Wewe huwezi ?mchaga kwa tamaa ya pesa anaweza.
Wanauliwa na nani zaidi ya hao "wagawe uwatawale"?Hizi Propaganda sijui huwa mnazitoa wapi.
Waafrika wanauwawa huko West Africa na Horn of Africa na nyinyi mnaleta mzaha.
Mimi nafata Uislam.Wewe huwezi ?
Well kazi yao si kuzuia, ni kupata taarifa na kuwaarifu vyombo husika kabla hayajatokea na baada ya kutokeaTISS ya NIGERIA 🇳🇬 changamoto.
Unakufundisha kufurahia mauaji ya ndugu katika iman Ali kibao na kukingia vifua tawala dharimu ?Mimi nafata Uislam.
Samahani,unaweza ukafafanua hapa?Makundi yote ya Kigaidi ni Project za Marekani na Nchi za Kikristo za Ulaya hasa Ufaransa na Uingereza
Inasemekana na nani magaidi wa kikafiri haoInasemekana hao Islamic Jihadist wanashambulia Nigeria halafu wanavuka mpaka na kuingia Niger.
Target yao ni Wakristo na vyombo vya Dola ya Federal Republic ya Nigeria.
Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapaKuna maswali huwa najiuliza:
- hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
- hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?