Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
UmujuajeWaislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmujuajeWaislamu
Kama vikundi vipo mpaka baadhi ya nchi za Europehao waafrika mpaka waundiwa vikundi na hizo nchi wauane kwani hawana akili? Tramp akiwatukana wasilalamike
Huo ndio ujinga wenu sasa kwanini wawanzishie kwenye Imani yenu then mnatekeleza! Imani ya ovyo kabisa hii inatokana inavurugu kwenye kitabu na ilivyo anzishwa basi inakuwa rahisi kama kweli ni project.Makundi yote ya Kigaidi ni Project za Marekani na Nchi za Kikristo za Ulaya hasa Ufaransa na Uingereza
Na shida hizo chuki haziifanyi qur an kupuuzwaView attachment 3150383
Mzizi wa Fitina ni Quruani.
Wewe ndio mjinga sasa kwani hakuna makundi ya kigaidi ya sio kua waislamHuo ndio ujinga wenu sasa kwanini wawanzishie kwenye Imani yenu then mnatekeleza! Imani ya ovyo kabisa hii inatokana inavurugu kwenye kitabu na ilivyo anzishwa basi inakuwa rahisi kama kweli ni project.
mchaga kwa tamaa ya pesa anaweza.
Muislam kwa tamaa ya pepo hawezi?Mimi nafata Uislam.
Dot ya kwanza, jibu lake: ndugu wanao.Kuna maswali huwa najiuliza:
- hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
- hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
YapWewe ndio mjinga sasa kwani hakuna makundi ya kigaidi ya sio kua waislam
Basi endelea kupiga kelele maana huna unalo jua
Halafu wanatumia Waislamu? Hapo mjinga ni nani?Makundi yote ya Kigaidi ni Project za Marekani na Nchi za Kikristo za Ulaya hasa Ufaransa na Uingereza
Niambie ni kundi lipi na hata likitokea wakristo wote wanakuwa against ila Imani yenu huwa mnatetea hata kama MTU kajitoa manga!Wewe ndio mjinga sasa kwani hakuna makundi ya kigaidi ya sio kua waislam
Imani ipi mimi mmoja kati ya wengi ambao napingana na ugaidi ntakutajia moja la anti balaka magaidi wa Ki kristo hawa wengine nenda kagugo mwenyeweNiambie ni kundi lipi na hata likitokea wakristo wote wanakuwa against ila Imani yenu huwa mnatetea hata kama MTU kajitoa manga!
Unataka kusema hata wale wa Kibiti serikali kufanikiwa kuwasimamisha kuliwezekana kwa sababu uliowataja hapo juu walikuwa against nao?Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapa
Lukarawa ni kikundi kilichoasisiwa huko Sokoto State Nigeria na kina Magaidi kutoka Nigeria Mali Burkina Faso na Niger.
Nigerian Armed Forces sasa hivi inapambana na Boko Haramu na kuzuka kwa kikundi hiki watakuwa wanapigana katika "two fronts"
Majihadi hao inasemeka idadi yao haijulikani lakini wanaweza kufika Magaidi elfu nane.
View: https://youtu.be/JUaMZr3myOw?si=nTMs18tBUr_CyHyl
Hao wa kibiti walikua vibaka tu waloshika mitutu unadhani mataifa yote wanaoshindwa kuwazuia magaidi mmewazidi nini huko Tanzania mpaka nyie mukaweza halafu wao washindwe kuwazuiaUnataka kusema hata wale wa Kibiti serikali kufanikiwa kuwasimamisha kuliwezekana kwa sababu uliowataja hapo juu walikuwa against nao?
Mbele ya mzungu hamna thamani ya Mkristo wala Muislamu. Mzungu kilicho muhimu nu maslahi ya nchi zao kwanza.Kwahiyo hizo Nchi zifadhili Magaidi kwa ajili ya kuua Wakristo?!
Wakristo wangapi Hamas imewachinja ?Lukarawa wanasema wanataka kuwa kama Hamas kuuwa Wakristo na Waigbo wa Nigeria.