Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
Hao jamaa huwa wanachukua vijana mafukara wakiwa wadogo wanawapa elimu ya kuharibu utu wao yaani wanakuwa sawa na mnyama kifikra mpaka kiutu(kiroho) ndiomaana wakishakomaa ktk hayo matendo yao ya ugaidi hawaoni shida kuua mtu yeyote mpaka mtoto mdogo asiye na kosa, wanapandikizwa chuki mbaya sana ya kiimani na kuaminishwa mtu aliye nje ya imani yao ni shetani afai kuwepo dunian, kumbe masikin wanaenda kupambania maslahi ya wajanja fulani

Hawa magaidi utawakuta baadhi Wanajiita wapigania uhuru, je mpigania uhuru yupi ataacha kupigana na mwanasiasa direct badala yake anakwenda kupambana na raia wasio na kosa? Kibaya zaidi mpaka kuharibu mali zisizowahusu.

Kuhusu kutokomezwa hawa inawezekana sana tu, pale serikali ikiguswa yaani wanasiasa matatizo yakiwagusa mbona utauona uwajibikaji wao, kama hao magaidi wangekuwa wanapambana na familia za wanasiasa kamwee usingeuona ugaidi maana ungetokomezwa haraka sana, wanaua raia wasiohusika wala kuwagusa wanasiasa ndiomaana hawapati uchungu wa kupambana nao,

pia kuna rushwa, maslahi na hiyo mikataba wanayosainishwa viongozi wetu ndipo wafadhiri wanawaamulia njia zipi za kupambana na gaidi, huku wakiwapandikiza watetezi wa ugaidi kwa majina ya mvuto wajiitao WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU,

Ukitaka kuona maajabu ya hawa watetezi wa haki za binadamu, ni pale raia wanapouawa vibaya na hao magaidi, lkn serikali inapojaribu kupambana nao either kuwaua adharani, utawaona hao wajinga wakisema wasiuawe bali washitakiwe kisheria baada ya uchunguzi, yaani upuuzi mtupu unapangiwa mpaka njia za kumuhukumu jambazi asiye na huruma kwa wengine.

Nigeria ni nchi mojawapo za kipuuzi ukiitoa Congo Drc, Sudan hizi nchi zote ni upuuzi unaofanyika
 
Kwamba anti balaka sio magaidi ama
Hebu kafatilie hii habari vizuri
Mana machafuko yako ya aina nyingi ulimwenguni... hali kadhalika ugaidi! Anti balaka siwaweki sana kwenye ugaidi wa moja kwa moja kama hawa... wale ni kama leo hii Watokee wakristo waanzishe kundi la kuwapinga Boko haram it means bila Boko haram hilo kundi haliwezi kuwepo na halina maana
 
Hao jamaa huwa wanachukua vijana mafukara wakiwa wadogo wanawapa elimu ya kuharibu utu wao yaani wanakuwa sawa na mnyama kifikra mpaka kiutu(kiroho) ndiomaana wakishakomaa ktk hayo matendo yao ya ugaidi hawaoni shida kuua mtu yeyote mpaka mtoto mdogo asiye na kosa, wanapandikizwa chuki mbaya sana ya kiimani na kuaminishwa mtu aliye nje ya imani yao ni shetani afai kuwepo dunian, kumbe masikin wanaenda kupambania maslahi ya wajanja fulani

Hawa magaidi utawakuta baadhi Wanajiita wapigania uhuru, je mpigania uhuru yupi ataacha kupigana na mwanasiasa direct badala yake anakwenda kupambana na raia wasio na kosa? Kibaya zaidi mpaka kuharibu mali zisizowahusu.

Kuhusu kutokomezwa hawa inawezekana sana tu, pale serikali ikiguswa yaani wanasiasa matatizo yakiwagusa mbona utauona uwajibikaji wao, kama hao magaidi wangekuwa wanapambana na familia za wanasiasa kamwee usingeuona ugaidi maana ungetokomezwa haraka sana, wanaua raia wasiohusika wala kuwagusa wanasiasa ndiomaana hawapati uchungu wa kupambana nao,

pia kuna rushwa, maslahi na hiyo mikataba wanayosainishwa viongozi wetu ndipo wafadhiri wanawaamulia njia zipi za kupambana na gaidi, huku wakiwapandikiza watetezi wa ugaidi kwa majina ya mvuto wajiitao WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU,

Ukitaka kuona maajabu ya hawa watetezi wa haki za binadamu, ni pale raia wanapouawa vibaya na hao magaidi, lkn serikali inapojaribu kupambana nao either kuwaua adharani, utawaona hao wajinga wakisema wasiuawe bali washitakiwe kisheria baada ya uchunguzi, yaani upuuzi mtupu unapangiwa mpaka njia za kumuhukumu jambazi asiye na huruma kwa wengine.

Nigeria ni nchi mojawapo za kipuuzi ukiitoa Congo Drc, Sudan hizi nchi zote ni upuuzi unaofanyika
Nmekuelewa hasa! Ongeza na Mozambique na baadhi ya nchi za Africa ya kati huu upuuzi umeenea sana.

Haki za binaadamu zina apply kwa magaidi ila wakiua wananchi Aah
 
Hebu kafatilie hii habari vizuri
Mana machafuko yako ya aina nyingi ulimwenguni... hali kadhalika ugaidi! Anti balaka siwaweki sana kwenye ugaidi wa moja kwa moja kama hawa... wale ni kama leo hii Watokee wakristo waanzishe kundi la kuwapinga Boko haram it means bila Boko haram hilo kundi haliwezi kuwepo na halina maana
Mie nimewafatilia anti balaka pengine kuliko wewe pia nimewafatilia na Seleka na unaposema wewe huwaweki anti balaka kama magaidi hua unaangalia vigezo gani ili kuwa toa anti balaka na kuweka wengine kwenye magaidi pia kati ya wewe na wengine wanao watanabahisha anti balaka kama magaidi tunatakiwa kuwafata wapi wewe au wao pia uniambie gaidi ni nani labda
 
Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
Tatizo ni unafiki wa watawala hasa akiwa ni Muislam. Huoni siku hizi serikalini, ijumaa mwisho saa 7 hata Baraza la Mawaziri. Jumapili ni kazi Mtindo mmoja.
 
Magaidi ya anti balaka yaliua sana watu afrika ya kati wale magaidi walikua wanaungwa mkono na nani Roman catholic au
Baada ya uvamizi wa Seleka kutokea Chad walikuwa Majority Muslims katika Nchi ambayo ni Majority Christians Vikundi vya Self Defence viliundwa ili kukomesha Seleka ndio hao Anti Balaka Serikali iliyokuwepo iliwaunga mkono ili kupunguza Spidi ya Seleka😁
 
Hebu kafatilie hii habari vizuri
Mana machafuko yako ya aina nyingi ulimwenguni... hali kadhalika ugaidi! Anti balaka siwaweki sana kwenye ugaidi wa moja kwa moja kama hawa... wale ni kama leo hii Watokee wakristo waanzishe kundi la kuwapinga Boko haram it means bila Boko haram hilo kundi haliwezi kuwepo na halina maana
Anti balaka miaka Ile walishutumiwa kuua askari wa umoja wa mataifa hawa sio magaidi au huwaeki sana kwenye ugaidi anti balaka miaa Ile
Hebu kafatilie hii habari vizuri
Mana machafuko yako ya aina nyingi ulimwenguni... hali kadhalika ugaidi! Anti balaka siwaweki sana kwenye ugaidi wa moja kwa moja kama hawa... wale ni kama leo hii Watokee wakristo waanzishe kundi la kuwapinga Boko haram it means bila Boko haram hilo kundi haliwezi kuwepo na halina maana
Waliua wana vijiji anti balaka miaka Ile walikua wanawalazimisha waislam kua wakristo ukikaidi unauliwa ama mateso mazito kama una watoa anti balaka kwenye ugaidi maana yake duniani hakuna kundi la kigaidi au ulete maana ya neno gaidi
 
Baada ya uvamizi wa Seleka kutokea Chad waliokuwa Majority Muslims katika Nchi ambayo ni Majority Christians Vikundi vya Self Defence viliundwa ili kukomesha Seleka ndio hao Anti Balaka Serikali iliyokuwepo iliwaunga mkono ili kupunguza Spidi ya Seleka😁
Magaidi ya anti balaka yalikua yanachinja mpaka wana vijiji na askari wa umoja wa mataifa magaidi wale wa kikristo walikua na roho mbaya ajabu
 
800px-Sa'adu_Abubakar_-Sultan_of_Sokoto.jpg

Sultan wa Sokoto Sa,adu Abubakar ameliunga mkono Jeshi la Nigeria katika kuwasaka Magaidi hao na kuwaua.
 
Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
Kuna mtaalamu wa masuala ya Ugaidi alisema, UGAIDI na SERIKALI ni kichwa na mkia katika NYOKA MMOJA,...
 
Back
Top Bottom