Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kwa hiyo wao wanaanzishiwa makundi na wazungu,hawana akili ya kureason?
Shida ni pale dini inapotafuta uhalali wa kutawala kisiasa
Kwani Anti Balak ya Afrika ya kati ni Waislamu??

Pili mtu mweusi uwezo wake wa kureason ni mdogo sana kutokana njaa na shida zinazompiga kila siku. Hata Tanzania watu mngekuwa na uwezo wa ku reason CCM mngeshaiondoa siku nyingi sana.
 
Ebu zitaje hizo nchi za kikristo za ulaya.
Yaani wakristo waañzishe makundi ya waislam yauwe wakristo?
Huna akili weee gaidi.
Wewe ndo unatumika makalio kufikiri. Kwa mzungu hamna dini mbele ya maslahi yao. Wao wanachotaka ni nyie kuwa bize na magaidi wakati wao wakifaidi Rasilimali zenu au nyie kuendelea kuwa maskini Ili muendelee kuwa wateja wao wa mikopo
 
Umefanya vizuri sana kutaja hilo. Wagner ni wageni. Hawawezi kuwa msaada endelevu. Nao wana masilahi yao. Mtu wa kwanza kumnyooshea kidole ni AU. Sijui hawa jamaa wakikutana kule Ethiopia huwa wanaongeaga nini? AU ni jukumu lao kuhakikisha amani Afrika.
kwemy matatizo yote ya Afrika ntabalia kulaumu serikali husika , kila ugaidi unasapotiwa na viongoz serikalini , ugaid unafaida kwa serikali kuliko Marekani na ufaransa , Hawa viongoz serikalini hufanya juu chini kutengeneza picha kuwa ni mataifa ya magharibi ndio chochea mf kipind BOKO HARAMA wanaanza kushamili walishindwa vip kudhibit mipaka ili chakula na silaha zisiwafikie hv BOKO HARAM wangemaliza hata miaka 5 ? MAKUNDI YA KIGAID YANACHOCHEWA NA SERIKALI ZETU HZ ZA AFRIKA NA SIO NCHI ZA MAGHARIBI
 
Kwani Anti Balak ya Afrika ya kati ni Waislamu??

Pili mtu mweusi uwezo wake wa kureason ni mdogo sana kutokana njaa na shida zinazompiga kila siku. Hata Tanzania watu mngekuwa na uwezo wa ku reason CCM mngeshaiondoa siku nyingi sana.
unajitoa ufahamu kuwa ant balak iliundwa baada ya waislam kuunda seleka na kupindua nchi na kuanza kuua wakristo waliowakaribisha mlipokimbia vita sudan na chad ila fadhira zenu zilikuwa kupindua nchi na kuua wenyej
 
M

Mnawasingizia Bure hao marekani, ninyi mnafanya nini?? Yaan USA na hao wakristo wamewashika akili kiasi gani mpaka kila jambo baya watakalo mnalifanya?

Shida kubwa ni hiyo dini ya kipuuzi ya uislam ambayo ndio TOOL nambari moja ya kuwatumia vijana masikini kuwaaminisha kuwa kuwaua wasioamini hiyo imani watapata thawabu sijui vitu gani huko kwa Allah,

Uislam ni njia mojawapo ya kumtawala mjinga afuate matakwa ya bwana wake kwa kuaminishwa vitu nje ya uhalisia.

Dini zote ni tatizo hapa dunian lkn uislam unaongoza kwa maovu, na iaminike kuwa wamiliki wa hivyo vikundi huenda na hata si waislam na hawana habari na huo uislam bali wako kimaslahi, lkn hizo kondoo(magaidi) zinaaminishwa upuuzi kupitia uislam maana ndio njia ambayo inaweza kuwaaminisha kuharibu mali za wengine ni halali, kutoa maisha ya wengine ni halali, kumbe deep down wanatekeleza maagizo ya wakubwa wao na si huyo Allah ambaye kaundwa na waanzilishi wa dini.

Magaidi nambari moja ni hao viongozi wa kidini wanaoshindwa kuziaminisha kondoo zao(wafuasi) ukweli ni upi na kudumisha upendo baina yao na wasiofuata imani zao.

Magaidi nambari 2 ni wanasiasa&viongozi wanaonunulika na kusahau majukumu yao, inashangaza sana nchi yenye jeshi, rasilimali na pesa inashindwa kukomesha upuuzi wa wapumbavu wachache wasio na uwezo wowote kielimu na hata kivita zaidi ya kumiliki Chuki& roho mbaya walizopandikizwa kuhusu imani.

Magaidi wa 3 ni hao mabwana zenu mnaopokea misaada yao na hao wanaowafadhili kwa namna yoyote ile.

Tunasema kila siku, dini ililetwa kumtawala mtu na kumuaminisha uongo, imagine dini zisingekuwepo, hao wahuni wangepata wapi wafuasi&majambazi wa kuwaaminisha kuwa kumtoa uhai asiye wa upande wako ni vizuri?

Dini zisingekuwepo hao wahuni na wezi wa rasilimali wangetumia njia ipo kuwagombanisha raia na serikali zao?

Dini zisingekuwepo hao wahuni&wafadhiri&wezi wa rasilimali wangetumia mbinu gani kuwagawa waafrika kiitikadi? Maana hakuna njia nyingine ukitoa ukabila ambayo inaweza kuwagawa watu na kuchukiana nje ya Dini.

Dini ni ushetani ulioundwa kuharibu fikra za watu kwa maslahi ya wachumia tumbo&wanasiasa, dini haitomuokoa yeyote msilumbane na kuchukiana kisa dini za uzushi.

Shameful on Africans
Wewe umezaliwa jana na akili yako umedumazwa na ugali wa Mahindi. Waasisi wa makundinya kigaidi ni Ulaya na MAREKANI Kwa Wazungu. Wala siyo Waislamu. Ingia hata google ukatafute makundinya kigaidi ya Kikristo yaliyowahi kuzitesa Dunia.
 
Kuna mtaalamu wa masuala ya Ugaidi alisema, UGAIDI na SERIKALI ni kichwa na mkia katika NYOKA MMOJA,...
Aliona mbali mnooo
Unajua unaweza ona jambo tofauti ila ukiingia kwenye system ukaishiwa nguvu kuona mambo yenyewe namna yanatendeka
 
Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapa
kwahiyo hao magaid ni wazungu au waafrika wenzetu ? kwann tusiwalaumu hao waafrika wenzetu au mwafrika ni mwehu hajui matumiz ya silaha zaid ya kuua waafrika wenzie
 
Magaidi ya anti balaka yaliua sana watu afrika ya kati wale magaidi walikua wanaungwa mkono na nani Roman catholic au
Roman Catholic pia ilishawahi kuwa na kukundi kikatili sana Cha Kigaidi waliloibatiza jina la Crusaders. Hawa crusaders waliitawala Israel na hasa mji wa Yerusalemu Kwa miaka kama 200.

Lakini pia kule Ulaya enzi Holy Roman Empire Kanisa ilikuwa vichwa vingi sana za wasiokubaliana na dini Katoliki.
 
kwemy matatizo yote ya Afrika ntabalia kulaumu serikali husika , kila ugaidi unasapotiwa na viongoz serikalini , ugaid unafaida kwa serikali kuliko Marekani na ufaransa , Hawa viongoz serikalini hufanya juu chini kutengeneza picha kuwa ni mataifa ya magharibi ndio chochea mf kipind BOKO HARAMA wanaanza kushamili walishindwa vip kudhibit mipaka ili chakula na silaha zisiwafikie hv BOKO HARAM wangemaliza hata miaka 5 ? MAKUNDI YA KIGAID YANACHOCHEWA NA SERIKALI ZETU HZ ZA AFRIKA NA SIO NCHI ZA MAGHARIBI

Inawezekana ikawa kweli. Mfano Joseph Koni lilikuwa zao la Mseven. Kasumbua Uganda miaka yote
 
yakiwepo makundi ya kigaid ya kikristu ndo inakuwa sabab ya kuyachekelea makundi ya kigaidi ya kiislam , haki ya mungu kwa akil zako kweny utawala wang nakunyongah
Utamnyonga saa ngapi wakati Magaidi wanatafuta kichwa chako wewe Kafiri.
 
Kuna maswali huwa najiuliza:
  • hivi hawa watu huwa na ndugu/jamaa
  • hivi nchi ikiamua kuwa serious kabisa kutokomeza ugaidi inashindwa?
thing is there's someone from inside engineering these groups.

Ever wondered where do they get the weapons and food given the time spent hiding in the wilds?

You need a super intelligent agency to spot the moles from within and dismantle the chain. Who want to orchestrate this?
 
Al Qaida,ISIS,Al Shabaab,Hamas,Hezbola Kataib Hezbola,BokoHaram,ISIS khorasan,Lashgar Ataiba, Al Qaida Magharibi,Abu Sayaf, na sasa Magaidi wapya wa Lukarawa.
 
kwahiyo hao magaid ni wazungu au waafrika wenzetu ? kwann tusiwalaumu hao waafrika wenzetu au mwafrika ni mwehu hajui matumiz ya silaha zaid ya kuua waafrika wenzie
Hata kutoa silaha kuwapa wengine ili wauane pia ni wehu pia kama kuuana ni wehu hata wazungu wa Ukraine wanapelekewa silaha wauane wenyewe kwa wenyewe
 
Roman Catholic pia ilishawahi kuwa na kukundi kikatili sana Cha Kigaidi waliloibatiza jina la Crusaders. Hawa crusaders waliitawala Israel na hasa mji wa Yerusalemu Kwa miaka kama 200.

Lakini pia kule Ulaya enzi Holy Roman Empire Kanisa ilikuwa vichwa vingi sana za wasiokubaliana na dini Katoliki.
Haya wakristo wana yafumbia macho hawataki kuyasema wala kuyasikia
 
yakiwepo makundi ya kigaid ya kikristu ndo inakuwa sabab ya kuyachekelea makundi ya kigaidi ya kiislam , haki ya mungu kwa akil zako kweny utawala wang nakunyongah
Wewe hata kutawala Familia yako sidhanii kama unaweza halaf uje unitawale mimi kwa akili zipi mpaka unitawale mimi
 
Back
Top Bottom