Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Dini gani hili kundi?
 

Umefanya vizuri sana kutaja hilo. Wagner ni wageni. Hawawezi kuwa msaada endelevu. Nao wana masilahi yao. Mtu wa kwanza kumnyooshea kidole ni AU. Sijui hawa jamaa wakikutana kule Ethiopia huwa wanaongeaga nini? AU ni jukumu lao kuhakikisha amani Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…