Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Hawa LAKARAWA wana itikadi ya dini?
 
Kuna jambo najiuliza wao master planers wanafaidika nini na mauaji? Au wanatengeneza kama distraction ya jambo zito linaloendelea nchini
 
Ndio maana huwa nasema bila mzungu, Dunia ingekuwa sehemu ya fujo sana .

Waafrika na waarabu bado ni wanyama.
 

Maeneo ya Magaidi halafu jambo la kushangaza Magaidi hushuka kusini mwa Jangwa la Sahara ni nadra sana kusikia kuwa wameenda kaskazini.
 
Kuna jambo najiuliza wao master planers wanafaidika nini na mauaji? Au wanatengeneza kama distraction ya jambo zito linaloendelea nchini
Sahihi. Just to create instability and weaken the ruling government.

The government may allocate entire resources (including military) to fight these groups. It may result into regions division or fall of the ruling government.

THAT'S POWER CLASHING. It's nothing other than fighting to rule.
 
K
Inasemekana hao Islamic Jihadist wanashambulia Nigeria halafu wanavuka mpaka na kuingia Niger.

Target yao ni Wakristo na vyombo vya Dola ya Federal Republic ya Nigeria.
Kwani wakristo wana alama ? Sema target yao ni raia acha upuuzi
 
Imani ipi mimi mmoja kati ya wengi ambao napingana na ugaidi ntakutajia moja la anti balaka magaidi wa Ki kristo hawa wengine nenda kagugo mwenyewe
Tuliyapinga na imeisha, nyinyi kuuwawa Kwa Osama mmelalama wakati ndugu zetu Dar walipoteza maisha!
 
Wewe umezaliwa jana na akili yako umedumazwa na ugali wa Mahindi. Waasisi wa makundinya kigaidi ni Ulaya na MAREKANI Kwa Wazungu. Wala siyo Waislamu. Ingia hata google ukatafute makundinya kigaidi ya Kikristo yaliyowahi kuzitesa Dunia.
Kwani yapo sasa?
 
K

Kwani wakristo wana alama ? Sema target yao ni raia acha upuuzi
Kwamfano wanavamia Kanisa ndani ya Kanisa kuna Aswari Sunni?!. Maswali mengine ni ya Kijinga sana.
 
Kuna habari zinasema Magaidi hao wana uhusiano na Magaidi wa Al Houthi wa Yemen wameunganisha nguvu kwa ajili ya kuua Wakristo na Wayahudi.
 
Ni dini gani hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…