Kikwete alishindwa uongozi kama Rais na sasa ameshindwa tena kama Mstaafu

Kikwete alishindwa uongozi kama Rais na sasa ameshindwa tena kama Mstaafu

Nyinyi humu kila siku mnataka Kikwete asijihusishe na siasa ..astaafu..
Hadi mkampa jina "mstaafu aisetaka kustaafu"...
Halafu tena mnataka awe nguzo na kushauri?alazimishe ushauri wake usikilizwe hata kama wahusika hawataki??

Seriously mnatakaje???
HII NCHI NGUMU SANA HII, WATU WA HII NCHI NA VIONGOZI WAO NI VIGUMU KUWAELEWA WANATAKA NINI?
 
Mkuu muache mzee wa watu apumzike, kwani watangulizi wake na waliochukua madaraka mbele yake wamemaliza au kupunguza changamoto na shida za watanzania!?
 
Acheni chuki kwa Waislam, thats all. Hakuna la ziada ni Dini tu. Hakuna Rais alismoothen life nchi hii kushinda Kikwete, hayupo.
Wakristo huwa na chuki sana. Always waislam hawana muda wa kutumia nguvu kubwa sana, wanatawala kwa kuachia uhuru wa watu wake, ajira wanatoa, uwekezaji wenye tija unaonekana.
Magufuli ametawala hapa watu wameporwa fedha zao, wameuawa wengi, na mengi ya hovyo.

Acheni udini, na nawaambia siku si nyingi kitawaka. Wekeni hoja za msingi, linganisha katika Kikwete na Magufuli, kwenye maisha yako, wapi ulipata unafuu?

Nyie endeleeni lkn siku moja mtakuja hapa kuomba maridhiano na hapo itakuwa haiwezekani tena.
Usitutishe wewee jikite Kwenye hoja. Kikwete kama Mstaafu ana wajibu wa kuliweka taifa Pamoja maana BI TOZO Kashindwa
 
Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Ni rais wa kwanza bongo kuwa na tuhuma nzito za wizi
 
Umeongea vzr yaan wanatuona wanyonge na hii chuki inayoendelezwa na kukuzwa imeanza tangu kuasisiwa kwa taifa hili na inaonekana waislam ni watu daraja la pili wengne wanajiona superior,
Wengne hawana haki Wala umuhmu waulize afrika ya kati kunaendelea nn had Leo hv watu hamjifunzi?
Kama vipi zichapwe tu we si unataka tufanane na central Africa
 
Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Wewe ulishawahi chukuliwa Mke na JK maana hunaga hoja tofauti na hii
 
Uzi wako unahisia nyingi,Mzee Kikwete hana baya hakuwa na husda,chuki wala visasi.

mimi ninachojua utawala wa Kikwete alifungua sana nchi hasa kwenye kukaribisha wawekezaji ajira zilikua nyingi mzunguko wa pesa wa uhakika,watu waliuza na kununua biashara zilifanyika.

watu walikula bata wakasaza,siku za weekend majiji kama ya Dar,Mwanza na Arusha yalikua ya moto ni full hekaheka.
real? kawaulize waliokuwa wapinzania wake ndani ya ccm
 
Back
Top Bottom