Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Mwl Nyerere alimkosoa Rais wa awamu ya pili Mzee Mwinyi,Rais wa awamu ya tatu Mzee wetu Mkapa alimkosoa Rais wa awamu ya tano Dr JPM,binafsi sioni taabu Rais wa awamu ya nne akikosoa awamu ya sita
 
Toka aingie madarakani Mwenye nchi yake Mshauri Mkuu wa kazi Dr. Abdurazak Makohashim Bin Hemed, Ushauri mwingine unawekwa kando.
Ndio maana tumekasirika.
 
Sasa Kikwete kakasirishwa na nini au anamaanisha nini katika kauli yake hii?
 
Sasa Kikwete kakasirishwa na nini au anamaanisha nini katika kauli yake hii?
Post yangu #139 uliyo quote mara ya kwanza kule nimesema itakuwa kachukuliwa out of context tu in my opinion alichosema kwenye huo mkutano ili watu watengeneze story za ugomvi ambao haupo.

JK hana sababu ya kulumbana na Samia hadharani watu wote muhimu ambao raisi anashauriana nao ndani ya serikali na kwenye chama ni watu waliokuwa kwenye system ya J.K.

Ukitaka system yako weka wapya, ndio maana Magufuli watu kama kina Lhuwavi aliwatoa nje ya nchi na nafasi za ubalozi, same thing, Samia kapangua Ikulu na kwenye chama watu wa Magufuli kaweka wake.

Be it Samia karudisha watu wa JK Ikulu na kwenye chama sasa sioni sababu ya JK kutaka kulumbana na raisi hadharani wakati logic ni kwamba anapata habari zote za hii serikali hata zile ambazo raisi ana confide to very few individual kuhusu mipango yake.
 
Selfishness !!
 
Hii inafikirisha sana !!
We have been taken for a ride !
Jamaa yupo vizuri sana katika hizo tecnics toka zamani !!
 
Sasa Kikwete kakasirishwa na nini au anamaanisha nini katika kauli yake hii?
Inawezekana pia hii ni danganya toto tu ili watu aliokusudiwa waamini kwamba maza na jamaa wameanza kutoelewana !
Ngoja tuone hii Comedy 🎭
 
Wale vipepeo na wale Gt wanaelewa Nini maana ya maneno hayo!!

Kwamba


Mama ameenda kinyume na ushauri fulani fulani hivi na italikost taifa sio au utawala wake au!!?


Ngoja tuone sinema!!!
 
Usijidanganye mkuu!!

Move ya mama kutaka kugombea na kutaka kutengeneza himaya yake mpya yaan kikosi itakua imeenda out of context!!!
Unakumbuka wakati was JPM Mzee alianza hivi hivi hadi walipoambiwa wanawshwa ndio akatulia!!!?

Ishu ya "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"

Halafu "original plan is on in and out"!maneno hayo yata signal pande zote kuanza kutafutana!


Alikua akimsema jpm!eti watu wanataka mambo mapya na sii ya zamani Yale yale!!!?

Ngoja tuone!!
 
ZUZU MASHUNGI AKILI ZA KUCHAMBUA MAMBO AZITOE WAPI WAKATI KAPATA CHEO.KWA KWA HISANI YA TOBO ZA CHINI
 


Hii yote umepata kwa kusoma hii taarifa hapa ama ulikuwepo ukumbini ukamuona mpaka lugha ya mwili wakati akiongea?


Hoja yako ni nzito.
 


Kwanini ninyi viumbe mnalazimisha kuziweka hizi Siasa za nchi hii kibinafsi sana?

Mko way too personal and emotional, kwanini hasa?

Huu uchonganishi unasaidia nini?

Kwanini Rais asiachwe akatimiza wajibu wake kuliko ili mradi hakuna sheria inayovunjwa?

Hii hofu yote ya nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…