Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Katikati ya mistari kuna kitu amekiona lakini hawezi kufunguka zaidi asije kusutwa na Ally Hapi ambaye anapiga jaramba sasa hivi.
 
Makonda
 
Kuna uadui wakufa na kupona kati ya Riz1 na Bashite....kutoka za chinichini kuna tetetsi JK alipuzwa ushauri wake ili Bashite taa yake isiwake tena....Mzee ameamua leo liwalo na liliwe
 
Dongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…