Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Kikwete aonya Serikali kupuuza ushauri. Ataja madhara yake

Maza ameanza Kuota mapembe?
Nimejiuliza hilo swali kama wewe.

On the other note, huyu dingirai msanii sana.

Labda kuna jitihada za kutaka asihusishwe na kuwa yeye ni “remote ya Msoga” kama wanavyoamini wengi.

Hilo plus Makonda kupewa lile rungu, kuna namna namna😃

Either ni hivyo, au ni kweli kaota hayo mapembe.

Ukizingatia Makonda alidai mwanae ni muuza madawa ya kulevya.

Inafikirisha. Lakini hata hivyo nimechoka kufikiri kuhusu siasa za Tanzania.

Mara chache sana nachangia kwenye hili jukwaa nowadays.
 
Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema Serikali ikikosa ushauri mzuri ama ikipuuza nchi inaweza kwenda pasipotakiwa kwenda.

Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Novemba 22, 2023 alipokuwa akielezea umuhimu wa makongamano na mikutano katika kuishauri Serikali na Rais.

“Ukikosa ushauri mzuri ama ukipata ushauri mzuri ukaupuuza hii nchi itakwenda kusikotakiwa kwenda. Ndio maana makongamano haya ni muhimu sana unachota mawazo,” amesema

Kikwete aliyekuwa Rais wa nne wa Tanzania (2005-2015), amesema hayo kwenye mkutano wa nne wa Maendeleo ya Biashara na Uchumi ulioandaliwa na Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) ambao yeye alikuwa mgeni rasmi.

Amesema unapokuwa Rais hujui kila kitu lakini unatakiwa kushughulika na kila jambo na kwa sababu huwezi kujua kila kitu inakubidi kutegemea ushauri.

“Sasa wenzako wanakuchagua kuwa unafaa kuwa rais, lakini utakuwa hujui kila kitu, taaluma yako ni uchumi…lakini ukiwa Serikali na Rais hujui kila kitu. Kwa sababu huwezi kujua kila jambo, lazima utegemee sana ushauri,” amesema
Amefilisika akili. Apumzike huyu mzee sasa

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Nimejiuliza hilo swali kama wewe.

On the other note, huyu dingirai msanii sana.

Labda kuna jitihada za kutaka asihusishwe na kuwa yeye ni “remote ya Msoga” kama wanavyoamini wengi.

Hilo plus Makonda kupewa lile rungu, kuna namna namna[emoji2]

Either ni hivyo, au ni kweli kaota hayo mapembe.

Ukizingatia Makonda alidai mwanae ni muuza madawa ya kulevya.

Inafikirisha. Lakini hata hivyo nimechoka kufikiri kuhusu siasa za Tanzania.

Mara chache sana nachangia kwenye hili jukwaa nowadays.
Amekerwa sana na uwepo wa Makonda kwenye CC. Concern yake ni too personal.
 
Ushauri ni muhimu lakini wakati mwingine hata hai washauri nao hawajui, checks and balances ndio muhimu zaidi.
Na washauri wenyewe wanakuwa ni "CHAWA" wanaonyonya uchafu ule ule toka kwa huyo wanayemshauri. Ndio utawala huu tunao ushuhudia sasa hivi.

Chawa watashauri kitu gani kabla hawajapata ishara ya anako elekea mteuzi wao!
 
Ushauri wake ni mzuri lakini nikiutazama vizuri nikama anamtishia mtu hivi,

Na nikienda mbele zaidi nikama anatetea kitu ambacho anahofia kuki poteza na anaonyesha yupo tayari hata kiwake inchi nzima
Ila tu asipoteze anacho kihofia kuki poteza

Binafsi naanza kumtafsiri kikwete zaidi ya nnavyo watafsiri umaskini na ujinga kwenye inchi hii

Sina uhakika Ila kikwete nikiumbe wa kuangaliwa Sana kwa nyakayi hizi ambazo mama ameamua kuweka mbele masrahi ya familia kuliko undugu

Let's pray for her
 
Nimemwona, ukweli nilifarijika sana. Kuna Dude moja huko chamani lilisema Wazee w a kishastaafu wasiongee eti wakalee familia!
Hivi kweli Bashite waliomweka Uenezi wamefikiria nje ya box,ni mtu mwenye majivuno na hana nidhamu kabisa pia fedha anazotoa takukuru chunguzeni amepewa na chama au ameanza vitisho vyake kwa wafanyabiashara kuwalazimisha wamchangie.mfano eti amempatia gari mwalimu aliyedhulumiwa gari.
 
Nimejiuliza hilo swali kama wewe.

On the other note, huyu dingirai msanii sana.

Labda kuna jitihada za kutaka asihusishwe na kuwa yeye ni “remote ya Msoga” kama wanavyoamini wengi.

Hilo plus Makonda kupewa lile rungu, kuna namna namna😃

Either ni hivyo, au ni kweli kaota hayo mapembe.

Ukizingatia Makonda alidai mwanae ni muuza madawa ya kulevya.

Inafikirisha. Lakini hata hivyo nimechoka kufikiri kuhusu siasa za Tanzania.

Mara chache sana nachangia kwenye hili jukwaa nowadays.
Ukiyachukua yote haya (matamshi), pamoja na teuzi, tena nyingi zisizokuwa na mwelekeo wowote zilizo kwisha fanywa na huyu kiongozi; ukiyaweka yote kwa pamoja na kuyasoma vizuri na kuyaelewa; utaona dalili njema kwa nchi yetu.

Tatizo tulilo baki nalo ni moja tu, kuwapata viongozi wanao elewa alama hizi na kuzitumia vizuri kutuondoa kwenye umateka tuliowekwa na hawa CCM.

Kwa hiyo nakusihi, huu siyo wakati wa kukaa pembeni. Tafuta mawani mapya usome vizuri yanayoendelea.
 
Hivi kweli Bashite waliomweka Uenezi wamefikiria nje ya box,ni mtu mwenye majivuno na hana nidhamu kabisa pia fedha anazotoa takukuru chunguzeni amepewa na chama au ameanza vitisho vyake kwa wafanyabiashara kuwalazimisha wamchangie.mfano eti amempatia gari mwalimu aliyedhulumiwa gari.
Mkuu hii inchi Ina hitaji akina makonda wengi Sana kusudi mambo ya songe 😂😂
 
Back
Top Bottom