Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Even JPM thought so, he didn't what hit him!Who is he in this country? The dude is overrated.
So you advise the Queen to hit him?Even JPM thought so, he didn't what hit him!
Thats your infertile imagination.So you advise the Queen to hit him?
Siasa za Tanzania ni UJINGA mtupu sometimes ni sahihi kutulia tuNimejiuliza hilo swali kama wewe.
On the other note, huyu dingirai msanii sana.
Labda kuna jitihada za kutaka asihusishwe na kuwa yeye ni “remote ya Msoga” kama wanavyoamini wengi.
Hilo plus Makonda kupewa lile rungu, kuna namna namna😃
Either ni hivyo, au ni kweli kaota hayo mapembe.
Ukizingatia Makonda alidai mwanae ni muuza madawa ya kulevya.
Inafikirisha. Lakini hata hivyo nimechoka kufikiri kuhusu siasa za Tanzania.
Mara chache sana nachangia kwenye hili jukwaa nowadays.
After all he is not God. He will one day fall down to the grave. Worship him not. He is a mortal creature.Thats your infertile imagination.
Yeah, so was Hamurabbi The Law Giver, Alexander The Great, Mkwawa Kinjeketile and Nyerere.After all he is not God. He will one day fall down to the grave. Worship him not. He is a mortal creature.
Uko sahihi mia.Mkuu jitahidi tu uchangie sote tumechoka toka miaka ile hadi unatafuta ukweli juu ya ile saga ya Balali.
Movie za siasa za bongo zinachezwa kila siku humu na Africa siasa inalipa kuliko ujuzi /taaluma.
Siku tukibadili siasa ikawa utumishi tutafika mbali.
I hate people who think are smarter than and own the majority.I regard them as fools because they take the position of God whilst they are mortal creatures.Yeah, so was Hamurabbi The Law Giver, Alexander The Great, Mkwawa Kinjeketile and Nyerere.
MmhMnafiki mkubwa Yeye ( Kikwete ) anasema nini wakati Yeye ndiyo Mshauri Mkuu mbovu wa Rais Samia?
Unfortunately thats your own opinion, and such people are here to stay. Too bad there is very little you can do about that.I hate people who think are smarter than and own the majority.I regard them as fools because they take the position of God whilst they are mortal creatures.
To stay? I think you are an atheist. Go on worshipping your idols. Cheerio.Unfortunately thats your own opinion, and such people are here to stay. Too bad there is very little you can do about that.
Ni aibu kwa Jinsia yake kulewa sifa za Machawa.Maza ameanza Kuota mapembe?
Ila ndi mwenezi kwasasa ametoboaBasi inawezekana Bashite sikio la kufa!
Kama ni kweli, kuwekwa pale ni kwasababu ya hofu ya kushindwa uteuzi ndani ya chama hence kupoteza uchaguziHivi kweli Bashite waliomweka Uenezi wamefikiria nje ya box,ni mtu mwenye majivuno na hana nidhamu kabisa pia fedha anazotoa takukuru chunguzeni amepewa na chama au ameanza vitisho vyake kwa wafanyabiashara kuwalazimisha wamchangie.mfano eti amempatia gari mwalimu aliyedhulumiwa gari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makonda aongeze kasi wameanza kutetema Kama mayele.
Unataka kumaanisha nn??Naweza kumwelewa JK, CC is supposed to be teamwork.
Makonda is uncontrollable, a stray missile.
Na kwamba alitumika na JPM basi also ni missile isiyo aminika.
Hatujasahau Makonda aliwahi kusema Riz anahusika na madawa ya kulevya!!
Tatizo JK ni mtu anakuambia kitu huku anacheka, lakini deep down tayari anafikiria next step.
Eti ngano imepanda Bei Kwa Sababu ya Vita ya Ukraine Halafu akaishia hapo?Tuheshimu mawazo ya wastaafu lakini JK why now?