Chapakazi
Umesema vizuri ila hilo neno kwenye red limetumika ndivyo sivyo hata kama ukiliondoa sentesi italeta maana ile ile.
Kinachosubiriwa kwa hanu leo ni Mgombea Mwenza wa JK.
Wakuu vipi? Kimya au bado wanakula bata?
Yap,Naona katika wajumbe wao 1909 waliohudhuria mkutano wao mkuu, kuna wajumbe 16 wamethubutu kuckiliza dhamiri za nafsi zao na kupiga kura za HAPANA!!
It's more than only 200k!Hao wote waliokuwa kwenye hicho kikao utashangaa kila mtu leo anaondoka na laki mbili,Akiamuangu unakula kwa macho tu!!
Ndio maana wanafurahi kweli kweli alafu siajabu hawajui nchi inadidimia vipi!
It's more than only 200k!
Usiombe ujue, kumbe basi utakasirika zaidi ha ha ha
Download hii player..angalia mwenyewe live.Ila kama hypocrisy na mis organization huwa vinakusasabishia nausea..basi usiangalie maana unaweza kutapika.
Maskini Tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa~~~~~!!!!!!
It's more than only 200k!
Usiombe ujue, kumbe basi utakasirika zaidi ha ha ha