mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Muongo pamoja na uprofessor wake alisaidia nini taifa?kama sio kufanya udalali tu wa vitalu vya gesi na kudhiaki Watanzania wenzake,kuwa awawezi wekeza ktk gesi wao saizi yao ni kuuza matenga ya nyanya na juice,nibola ya Bitteko mala mia kuliko Muongo, tafuta takwimu na pato la madini wakati wa Muongo na Bitteko nikama mbingu na aridhi,sisi tunaangalia kazi sio sv Bitteko ni zaidi ya professor Muongo ingawa ana bachelorUmesahau JK alimchomoa pia Prof . Muhongo aliyekuwa akipiga mzigo nje. leo hii eti CCM ya Magufuli chini ya Musukuma na Kibajaji wanadhiaki usomi wa Muhongo. Kweli JK alikuwa na Maono..
Ushamba mzigo.Umenikumbusha kisa cha mzee aliyekataa kupokea fedha kwa mwanae alizotoa kwenye ATM akidai ni bandia kwakuwa hakumwona bank teller yeyote pale kwenye kibox alipotoka na fedha
Wapo ni watoa huduma za kibenk kwa mawakalaHivi MaxMalipo siku hizi wako wapi?
Walemavu wa akiliJiwe angekuwa hai wangesema ni juhudi ya serekali ya awamu ya tano.
Mwalala uli=umeamkaje?Posuta , mwalala uli?
Nitatuma boss ,weka numba tu ya kutuma haaaaaTuma na ya kutolea mshua
Uzuri hakuna tena "serikali ya Magufuli" kuna "serikali ya Jamhuri ya muungano" watu wanajibinafsisha vitu .Mkapa angekuwepo naye angesema na fulani wa BOT wakati nikiwa rais alianzisha ........Anasema eti kazi zilisimama kwa muda wa miaka 5 ila kwa sasa kazi zinatakiwa ziendelee
Shikamoo mkuu. Una binti uko nije kuchumbia [emoji1]Nipe shikamoo dogo
Maliza kusoma, ajiriwa or tafuta mchongo oa. ...usiruke hata steji moja .. mabinti wanazaliwa kila saa.Shikamoo mkuu. Una binti uko nije kuchumbia [emoji1]
kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Hahaha, sijafikia hapo mkuuNitatuma boss ,weka numba tu ya kutuma haaaaa
Kwhy alikua ameshaalikwa au huyo marehemu alishafariki Professor Ndulu mbn unakua kama 'Choko'kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Muo
Muongo pamoja na uprofessor wake alisaidia nini taifa?kama sio kufanya udalali tu wa vitalu vya gesi na kudhiaki Watanzania wenzake,kuwa awawezi wekeza ktk gesi wao saizi yao ni kuuza matenga ya nyanya na juice,nibola ya Bitteko mala mia kuliko Muongo, tafuta takwimu na pato la madini wakati wa Muongo na Bitteko nikama mbingu na aridhi,sisi tunaangalia kazi sio sv Bitteko ni zaidi ya professor Muongo ingawa ana bachelor
Tatizo sio kununua,yeye alisaidiaje hawa Watanzania kunufaika lasilimali za nchi yao?baada ya kutukana tu,Usomi unaoneka ktk kutatua matatizo ya hao waliokutuma kuwawakilisha na sio kuwatukana.Kwanza yeye kasomeshwa na kodi za Watanzania ili aje kuwasaidia,baada ya kuwasaidia anaanza kuwa dalali wa mabeberu.Mkiambiwa ukweli mnasema mnatukanwa
Tangu kaondoka Muhongo kuna Vitalu vingapi vya gesi vimenunuliwa na Wazawa?
Aisee Watoto ni wengi sana humuMwaka 2009 nikiwa darasa la nne bibi yangu M-Pesa alikuwa anaiita Mapesa. Hata transactions za mitandao mingine zilizofuatia aliziita hivohivo mpaka badae akajua kuzitofautisha. Mwanzoni alikuwa anagoma wasitume hela uko akidai itaibiwa na wafanyakazi wa mitandao ya simu.
Wanajitakia wenyeweCcm ni kiwanda cha kuua heshima za wasomi na uzalendo.
Nina mheshimu sana Muhongo, anapobezwa huwa naumia mno
Hapo namsifu Prof Ndulu na JK kwa kuwa soft na kuwaachia wataalam waendelee na mawazo yao. Hapa najifunza kitu kikubwa sana kuwa utawala shirikishi ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi.Hii miamala ya kifedha kwenye simu imekua msaada mkuvwa sana.
Chumba na sebule masaki kwa mwezi sh.ngapi?Nitamkumbuka Nduru kwa kuigeuza shiling yetu kuwa pesa ya madafu,mpaka ilifikia kupata chumba na sebule mitaa ya ostbah au massaki mpaka uwe na dollar,na kuruhusu watu wajichotee hela BOT jinsi wanavyo taka,kwanza aliisha tuhumiwa na bunge kuwa aliishi kifisadi.