Kikwete atoa kauli kuhusu kikombe cha Babu wa Loliondo msibani kwa Malecela. Kauli hiyo inasemekana kumlenga aliyekuwa Waziri katika Serikali yake

Kutosoma inaweza kuwa chanzo cha our misery ila sio kutokula samaki.
 
Msukuma ana akili kwasababu ana apartment zaidi ya 180 nchi nzima, sio nyumba...ni apartment! Ana migodi, ana mabasi nk. Wewe una nini? Cheti cha degree ndo unaona una akili? Nyie ndo wale mnaona kuwa na akili ni kuongoza darasani
 
Na ndiomaana karibia 85% ya watumishi wa umma Tz ni incompetent, wengi ni wajinga tu. Eti division four ya 28 mtu anaenda kusomea nursing, ooh polisi matokeo yake tumaejaza watu wa hovyo tu kwenye sekta nyeti na hao ndo wanatupa shida mpaka hii leo.
Incompetence ni tatizo la mfumo mzima wa Elimu. Sio la JK. Nchi hii mwenye Division 1 na Division 4 kuwatofautisha ni kazi ngumu. Angalau yeye alionesha kuthamini ustawi wa binadamu. Sio kuendekeza ukatili na visasi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Nipe links 3 ya hizo papers
Mzee inaonekana ni mtu unapenda maarifa ila pia ni Mtu unapenda kubisha un intelligently, unfortunately siwezi beba mzigo wa ignorance yako, you're capable of reading and exploring, plse do then uwe unakuja na alternative thinking then we can have meaningful discussion, kwa mfano kama unaona samaki hawana mchango kwenye IQ nipe alternative explanation, the Brain is made up of lipids (DHA, ALA, ARA, cholesterol, ) hivi vitu mtoto akikosa esp kuanzia 2&3 trimester and the first 3 years of life hata kama genetically is predisposed kuwa na higher IQ it'll lower his or her IQ significantly.

The brain won't function at optimal levels na kuna papers kibao...hata uki google unapata, ila kama unataka serious papers and journals nenda kwenye hii site www.sciencedirect.com utapata maarifa sana ya unachotaka kujua
 
..umesikiliza hotuba nzima aliyotoa Mzee Kikwete?

..nadhani hujamtendea haki Mzee Kikwete. Hebu msikilize hapa chini.

Itoshe kusema kwamba alia nzisha uzi ndiye mwenye chuki ya wazi kwa Jk
Pia ni mchonganishi
Jk kataja baraza lake la mawaziri wengine kawataja majina kabisa, ila yeye kachagua mmoja ili kumchonganisha na Jk
Tuache chuki na uchonganishi , haunaga afya kwa taifa
 
Ila bwana mac, wanyonge wanyongeni tu lakini haki yao wapeni! Hiyo four 26-28 ndo uhalisia wa mambo na wote tunajua makosa makubwa siyo tu hao wajinga wanao shikilia hizo nafasi nyeti kwa elimu hiyo! Hata hao wamewazi wenye wani za 7, ujinga kidogo tu! Mfumo wa elimu yetu ni duni na ndo unatuzalishia mapooza! Au unataka kusema dr. Madelu kamzidi sana dr. Msukuma?! Si wote ni wa mule mule tu, pamoja le prefesour wa mambo ya nje zamani?!
 
Ndomaana namwambia huyo jamaa anaedai eti kila kiongozi ana akili kwakua anatuongoza.

Sikupingi, hapa tz watu wenye akili na IQ kubwa ni wachache sana, labda huko BOT, na kwenye sekta ya afya (wale wazee) achana na hawa vijana wa sikuhizi.
 
Kama sio Mkapa kuingilia kati JPM asingekuwa rais leo hii, na wakati huo akishakuwa mstaafu tayari. Afrika tunao utamaduni wa seniority, wazee kuheshimiwa kauli zao na ushauri wao.
 
Kutosoma inaweza kuwa chanzo cha our misery ila sio kutokula samaki.
Please kasome papers kuhusu Brain development from pregnancy to 3 years, naomba usiache hata papers 3,. serious papers then urudi uniambie kama una msimamo huu huu, kingine, nitakutafutia paper Moja mtu amefanya tafiti zaidi ya miaka 8 na swali lilikuwa Moja tu kwann waisrael wana akili, ukiitafuta utaipa, ukisoma utaelewa kwa namna gani nurture ni kitu muhimu sana kutengeneza jamii ya watu wenye uwezo kiakili
 
Msukuma ana akili kwasababu ana apartment zaidi ya 180 nchi nzima, sio nyumba...ni apartment! Ana migodi, ana mabasi nk. Wewe una nini? Cheti cha degree ndo unaona una akili? Nyie ndo wale mnaona kuwa na akili ni kuongoza darasani
Ahahahahaaa kijana hizo hoja unazoleta si msingi wa mada yetu, wewe ulidai kuwa hakuna watu wenye akili (wasomi) kama watu wa pwani. Nimekwambia nitajie hao watu wa pwani wenye akili ukashindwa kisha ukajiingiza kwenye swala la viongozi, unadai kwamba kuwa kiongozi ni ishara ya kuwa na akili nyingi sana.

Kuwa kiongozi ni ishara ya kuwa na akili nyingi sana๐Ÿ˜‚. Mimi nimekuelewesha vizuri kabisa kuwa, swala la kuongoza hapa Tz halihitaji kuwa na akili nyingi sana hata wewe pamoja na ujinga wako unaweza kuwa kiongozi hapa Tz na nimekupa mfano wa Bwn.Msukuma ila naona umeshindwa ku-deal na mada naona umekimbilia kwenye mali.

Haya tuachane na swala la akili sasa tujadili swala la mali nyingi kama unavyotaka.
 
Nionyeshe hapa wapi nimesema "hakuna watu wana akili ( wasomi)
kama watu wa Pwani".... utakuwa una matatizo ya akili wewe
 
Nionyeshe hapa wapi nimesema "hakuna watu wana akili ( wasomi)
kama watu wa Pwani".... utakuwa una matatizo ya akili wewe
Kikubwa uelewe kwamba, kuwa kiongozi Tz sio ishara ya kuwa na akili hata wewe na huu ujinga wako unaoonyesha humu unaweza kupewa wizara bila shida yoyote.

Hiyo ndo point yangu, mengine yote unayonijibu ni sawa na kulazimisha mknd wako utafune muwa na sio kazi ulioumbiwa.
 
Msukuma ana akili kwasababu ana apartment zaidi ya 180 nchi nzima, sio nyumba...ni apartment! Ana migodi, ana mabasi nk. Wewe una nini? Cheti cha degree ndo unaona una akili? Nyie ndo wale mnaona kuwa na akili ni kuongoza darasani
Mzee inabidi u upgrade yourself, bado sana...๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Umeshindwa kunionyesha niliposema watu wa Pwani wana akili nyingi umeishia kunitukana... halaf ndo wewe ni miongoni mwa watu wanajiona "wana akili nyingi"...
 
You're right, except for our case, wamekuta a "causality relationship"again kasome utaona. Actually sio lazima ule samaki, hata Algae zina DHA, na kumbuka pia genetics ndio zinatengeza mazingira, 50-80% of your IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ