ukiona hivyo ujue ananufaika nae kwa kumnyooshea madili yake au makamu mteuliwa ni mtu wake na hajateuliwa hapo bahati mbaya huwezi jua labda kuna plan ya kuja kufanya reverse huko mbele ya safari kuna hesabu zishapigwa hapo.!Yeye Mwenyewe ndiye Mchawi. Kitendo cha yeye kubebeshwa zigo la kumfagilia Maza apitishwe bila kufuata katiba kwa kudai kuwa Mkutano Mkuu wana huo uwezo unamfanya awe ni Mchawi.
Nae wanasubiri afe , vijembe vipigweLowasa,maana jk wakati akigombea alishaanguka sana jukwaani,watu wakiitaka nafasi
Ubaya unakawaida ya kujirudia na yeye atakufa na huyo mbibi nae ni wa kufa sote ni wa kufa, Tanganyika inawaangalia kwa hasira
Karma is real atajionea soon Mungu Mkuu atamtenda kwa kaburiKwa Yale aliyomfanyia rafiki yake Lowassa inaonyesha ni jinsi gani alivyokuwa Mbinafsi.
Yeye siyo mchawiNae wanasubiri afe , vijembe vipigwe
Tusishikane ugoni tu maana spana zikianza kutembea mitandao itachafuka 😂Nae wanasubiri afe , vijembe vipigwe
nani?🐒Kina kingunge 😜🤭
Kwahy ht baba ake n mchawi, au baba ake yupo hai?Hata akifa leo, kishasema wachawi wamekufa,kosa lao siyo kufa bali uchawi
Hee kumbe unawajua wachawi?Acheni upuuzi. Nyie mnataka wachawi waishi?