Kikwete: Kwanza wachawi walishakufa

Yn kunyimwa kugombea ndio unasema kufanyiwa ubaya? Kwahy ww unaona kusaidiwa ni haki yako?
Kama makubaliano yalikua nakusaidia wakati huu ww utanisaidia wakati ujao, huoni naye ana haki kusaidiwa huo wakati ukifika?
 
Je wajane walikuwemo? Tujiridhishe kwanza
 
Sisiemuu hoyeeeh mbele kwa mbeleee
 
Halafu nao wakija kufa kisha watu wakasherehekea si ajabu watataka wanaosherehekea wakamatwe.

➡️ Wema hawafi! ✔️

➡️ Wachawi walishakufa! ✔️

RIP JPM 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Utakuwa unaota,haitaweza tokea kifo cha Kikwete watu washerehekee kama Magufuli. Never.
 
Utakuwa unaota,haitaweza tokea kifo cha Kikwete watu washerehekee kama Magufuli. Never.
Mpaka unajiapiza kabisa kama vile umo katika mioyo ya watu na kujua yaliyomo humo; hasa mioyoni mwa wapenzi wa JPM.

➡️➡️➡️Anyway, huu ni mjadala mfu, wenye mawanda mafu; na unaohusu wafu. Tuachane nao mkuu (sisi wafu watarajiwa!) 🙏🏿
 
Huku ni kukosa hekima kwa kiwango cha hali ya juu sana.
 
Kwenye Hili mzee wangu kaniangusha,dalili za uzee tayari.Busara na Hekima zinapungua.Hakustahili kutoa kauli hiyo hususani mazingira iliyopitia nchi.
 
Kwenye Hili mzee wangu kaniangusha,dalili za uzee tayari.Busara na Hekima zinapungua.Hakustahili kutoa kauli hiyo hususani mazingira iliyopitia nchi.
Asiwe anaitwa kwenye mikutani,ameansa kupoteza network
 
Rost na born town si wazee wa boyz2men, lini wamehitilafiana?
Rost na Dr. Nchimbi ni timu Lowassa. Lowassa alihitilafiana na born town.

Japokuwa Rais Samia anajitahidi kubalance hizi timu msoga, timu lowassa na sukuma gang lakini nawaona timu Lowassa wanang'aa zaidi. Hata aliye nyuma ya Rais Samia kuhusu ajenda ya nishati safi ni Rostam Aziz.
 
 

Attachments

  • 5933889-38234ecc8a3a87ee084bae1f062c882e.mp4
    5.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…