Ni yake yeye jakaya?kafia jakaya kikwete hospital hilo halitoshi, labda?
We hujui, kama nyerere asinge kata jina la lowassa mwaka 1995, Lowassa angekua Rais wa awamu ya 3.Eti Lowassa ndiye aliyempa Urais Kikwete! Utakuwa mzaliwa wa miaka ya 2000. Jakaya tayari alishakuwa kwenye mstari wa Urais toka miaka ya mwanzo ya tisini na hapakuwa na mtu aliyekuwa anamzidi umaarufu na kukubalika kama Jakaya ndani na nje ya CCM. Mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kikwete kuchukua urais mwaka 1995 alikuwa Hayati baba wa Taifa. Lowassa na Rostam waliona fursa na sio kumpa Urais.
haina maana na haikua na haja kueleza mengi.Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Ni yake yeye jakaya?
Hakuna aliyemjua Lowassa na hakuwa na umaarufu. Tishio la Kikwete llikuwa Malecela na Cleopa Msuya. Lowassa alipata umaarufu mkubwa kipindi Cha Mkapa na mwaka 2005 alijua asingeweza kushindana na Kikwete ndio maana akakubali kuungana na Kambi ya JakayaWe hujui, kama nyerere asinge kata jina la lowassa mwaka 1995, Lowassa angekua Rais wa awamu ya 3.