Kikwete: Lowassa ameacha alama zitakazokumbukwa daima

Kikwete: Lowassa ameacha alama zitakazokumbukwa daima

Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.

Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.

Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Mchonganishi Emanuel Nchimbi

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna aliyemjua Lowassa na hakuwa na umaarufu. Tishio la Kikwete llikuwa Malecela na Cleopa Msuya. Lowassa alipata umaarufu mkubwa kipindi Cha Mkapa na mwaka 2005 alijua asingeweza kushindana na Kikwete ndio maana akakubali kuungana na Kambi ya Jakaya
Halafu kuna LINAFIKI moja juzi, lizee hivi, eti linasema ukiacha Nyerere mwanasiasa aliyefuata kwa kuwa na ushawishi katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni Lowassa. Dah, yaani aibu niliona mimi aisee!
 
Eti Lowassa ndiye aliyempa Urais Kikwete! Utakuwa mzaliwa wa miaka ya 2000. Jakaya tayari alishakuwa kwenye mstari wa Urais toka miaka ya mwanzo ya tisini na hapakuwa na mtu aliyekuwa anamzidi umaarufu na kukubalika kama Jakaya ndani na nje ya CCM. Mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kikwete kuchukua urais mwaka 1995 alikuwa Hayati baba wa Taifa. Lowassa na Rostam waliona fursa na sio kumpa Urais.

Na sio lazima aseme alienda kumtazama. Nje ya siasa hao watu waliendelea kuwa Marafiki na wanajua a faulo walizochezeana.
Aya ya mwisho umedanganya. Walikuwa mahasimu wakubwa kiasi cha Lowasa na JK kutowasiliana.

Emanuel Nchimbi alijaribu kumrubuni Lowasa ajishushe apatane na JK, lakini Lowasa alikataa kabisa.

Msikilize JK kwenye maneno yake. Hapakuwa na mawasiliano kati yao. Kwa Membe alisema waliongea kwa simu. Kwa Magufuli alisema alipewa taarifa ya kifo. Ni mnafiki kama wazungu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Yaani jana kikwete kaongea sifa kibao za Lowassa wakati anahojiwa na wanahabari , comments za wananchi sasa nadhani leo ndio maana wakati wa kuaga kufunga mdomo hajaongea kabisa..
Hakuona haja ya kurudia yale aliyokwisha kuongea (na alilisema hili), lakini si kwa sababu ya kuogopa hizo comments za hivyo viwananchi vichache vyenye njaa na uchawi.......jk ni mwamba wa siasa hastushwi wala hagadhibiki na viwatu kama hivyo. Alitukanwa na wanafunzi mara kibao (wa vyuo vikuu) lkn ndo kwanza aliwapigania kwz kuwapa hela zaidi za kujikimu na baadae kuwaajiri kabisa. Wengi wa watukanaji wake wa sasa ndo hao.
 
Nongwa

Nawewe mleta mada mbona hujatoa pole kwa wafiwa?

Unajua kabisa familia imeondokewa na mpendwa wao ila hamna sehemu yoyote umetoa pole kwa ndugu wa marehemu? ni haki kweli hii, mbona huna uungwana na utu ndugu mtangazaji?


Hicho nimeandika hapo juu hakitofautiani sana na tuhuma zako kwa JK.
 
Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.

Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.

Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzimu wa Lowassa utamtesa sana Jakaya,kwani bila kupepesa maneno,mateso,madhira aliyoyapata Lowassa yana mkono wa Jakaya.hata akatae namna yoyote ile,dunia na watanzania karibu wote wanafahamu hilo.

Hata kifo cha Mkapa na Magufuli anahusishwa pia,hii si nzuri kwa afya ya akili yake,

Rejea Blaise Compore alichomtenda Thomas Sankara
Kwanza huo ni uchawi,ukiachilia mbali JK kwani hotuba za viongozi wengine wamesema kuwa walienda kumuona mgonjwa?

Wewe unajuaje kama JK hajaenda kumuona mgonjwa?namna ambvyo Lowasa amekuwa anauguzwa familia yake imemaintain privacy,that's why hujaona picha zozote za Lowasa akiwa anaugua au watu wakipiga nae picha hata family yake alipokuwa anaugua.

Pili, unaposema Jakaya kahusika kumuua labda Kwa sababu za kisiasa,na hao Kina Nyerere ambao walimkata Jina lake miaka hiyo utasemaje?Hizo ni siasa,hata Raila Odinga anachanga karata zake kila awamu ili awe Prezoo,siasa Zina consequences zake,siyo kila unachopanga lazima kiwe,Urais Mungu anapanga,hata kifo pia.

Tatu,unasema kifo Cha Mkapa na Magufuli anahusishwa navyo how?

Huo ni uchawi,na mchawi kule kwetu lindi dawa yake ni kupigwa Tigo tuh...
 
Wale wote waliokuwa wanasema JK hakuwa na ubavu wa kumkata Lowassa ndani ya CCM na kumzuia nje ya CCM ndio hao hao sasa wanamtukana JK kwa kuwa na ubavu huo na kuutumia

JK no jabali hasa la Siasa ndani ya Nchi yetu lakini hakuwa na roho mbaya ya kushughulika na utajiri wako
Umeongea kitu muhimu sana chief. Ukinipga umenionea ukiacha umeniogopa
 
Mimi sioni ubaya wa kutisha aliofanyiwa ENL na JK ukilinganisha na ule aliofanyiwa na JPM ambapo alifilisiwa karibu kila kitu mpaka aliposalimu amri na kurudi CCM.
JK kumkatalia ENL asiwe mrithi wake kwenye Urais, alifanya jambo la maana!
Vinginevyo urais ungekuwa wakupeana kishikaji.
Anyway pamoja na hayo ENL ametutoka! Tumuenzi kwa yale mazuri aliyolifanyia Taifa letu.
 
Nongwa

Nawewe mleta mada mbona hujatoa pole kwa wafiwa?

Unajua kabisa familia imeondokewa na mpendwa wao ila hamna sehemu yoyote umetoa pole kwa ndugu wa marehemu? ni haki kweli hii, mbona huna uungwana na utu ndugu mtangazaji?


Hicho nimeandika hapo juu hakitofautiani sana na tuhuma zako kwa JK.
Tehetehe!
 
Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.

Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.

Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?


Nimeona video akiaga mwili nikasema siasa ni mbaya sana. Familia ya Lowassa wana waamini Chadema kuliko CCM
 
Wale wote waliokuwa wanasema JK hakuwa na ubavu wa kumkata Lowassa ndani ya CCM na kumzuia nje ya CCM ndio hao hao sasa wanamtukana JK kwa kuwa na ubavu huo na kuutumia

JK no jabali hasa la Siasa ndani ya Nchi yetu lakini hakuwa na roho mbaya ya kushughulika na utajiri wako
Mbona hotuba ya warioba Iko wazi!
Watu wavivu kusikiliza wanapenda kusimuliwa
 
Aya ya mwisho umedanganya. Walikuwa mahasimu wakubwa kiasi cha Lowasa na JK kutowasiliana.

Emanuel Nchimbi alijaribu kumrubuni Lowasa ajishushe apatane na JK, lakini Lowasa alikataa kabisa.

Msikilize JK kwenye maneno yake. Hapakuwa na mawasiliano kati yao. Kwa Membe alisema waliongea kwa simu. Kwa Magufuli alisema alipewa taarifa ya kifo. Ni mnafiki kama wazungu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kila ubaya utalipwa asipolipa yeye kitalipa kizazi chake
 
Asingeweza kusema kwani hakwenda kabisa.
Kwa ubaya ule uso umeumbwa na aibu!
Lowasa alivumilia mengi sana, walimtukana, kumtusi,kumuhujumu na kumsingizia mengi sana.
 
Back
Top Bottom