Kikwete: Lowassa ameacha alama zitakazokumbukwa daima

Kikwete: Lowassa ameacha alama zitakazokumbukwa daima

Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.

Ni Lowasa ndye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.

Je, marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa na JK?
Kama ni usaliti lowasa alifanyiwq na wqnaccm wote akiwamo nyerere huyu kikwete alimalizia tu
 
Kama ni usaliti lowasa alifanyiwq na wqnaccm wote akiwamo nyerere huyu kikwete alimalizia tu
Nyerere hakuwa msaliti kwa kuwa hakuwa amewekeana ahadi na Lowasa, JK aliwekeana ahadi na Lowasa, na akala hela zake, na baadae akamsingizia mambo ya Richmond.
 
Kuna watanzania wanapenda sana kulalamika, sasa jakaya kutoenda kumjulia hali ndio mumlaumu! Tusipende kulialia
 
We hujui, kama nyerere asinge kata jina la lowassa mwaka 1995, Lowassa angekua Rais wa awamu ya 3.
Achana na huyo, hajui lolote. Kama Nyerere asingekata jina 1995 angekuwa Rais na kama Kikwete asingekata jina 2015 angekuwa Rais
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye shughuli ya kuaga mwili wa hayati Edward Lowassa kwenye viwanja vya Karimjee,

“TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa muda aliotupatia wa kuishi na kuhudumiwa na ndugu Edward Ngoyai Lowassa, wakati wa uhai wake ametoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu, na ameacha alama zitakazokumbukwa daima. Shukrani kubwa tunayoweza kuitoa kwake kwasasa ni kumuombea kwa Mola aiweke roho yake mahala pema peponi” -Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.

View attachment 2902634

[emoji329] AzamTV
Mnafiq mkubwa huyu jakaya.
 
Mzimu wa Lowassa utamtesa sana Jakaya,kwani bila kupepesa maneno,mateso,madhira aliyoyapata Lowassa yana mkono wa Jakaya.hata akatae namna yoyote ile,dunia na watanzania karibu wote wanafahamu hilo.

Hata kifo cha Mkapa na Magufuli anahusishwa pia,hii si nzuri kwa afya ya akili yake,

Rejea Blaise Compore alichomtenda Thomas Sankara
Na ndiyo maana ule ugonjwa wake wa kuanguka umemrudia kwa kasi siku hizi anaanguka kila wiki na yule mlinzi wake aliyekuwa mtaalamu wa kumdaka ameshatangulia mbele ya hadi,ipo siku ataanguka apigize kichwa kwenye tiles kipasuke au labda awe anavaa helmet muda wote.
 
Eti Lowassa ndiye aliyempa Urais Kikwete! Utakuwa mzaliwa wa miaka ya 2000. Jakaya tayari alishakuwa kwenye mstari wa Urais toka miaka ya mwanzo ya tisini na hapakuwa na mtu aliyekuwa anamzidi umaarufu na kukubalika kama Jakaya ndani na nje ya CCM. Mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kikwete kuchukua urais mwaka 1995 alikuwa Hayati baba wa Taifa. Lowassa na Rostam waliona fursa na sio kumpa Urais.

Na sio lazima aseme alienda kumtazama. Nje ya siasa hao watu waliendelea kuwa Marafiki na wanajua a faulo walizochezeana.
Fuatilia mambo uache ubishi. Lowassa alikatwa jina na Nyerere Kama alivyokatwa jina na Kikwete. Jiulize kwanini, waliogopa Nini?. Hata walivyompa Uwaziri Mkuu wakamtengenezea ajali ya siasa
 
Halafu kuna LINAFIKI moja juzi, lizee hivi, eti linasema ukiacha Nyerere mwanasiasa aliyefuata kwa kuwa na ushawishi katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni Lowassa. Dah, yaani aibu niliona mimi aisee!
Hayo ni maoni yake. Halafu wengi Lowassa mmemjua juzi.
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete kwenye shughuli ya kuaga mwili wa hayati Edward Lowassa kwenye viwanja vya Karimjee,

“TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa muda aliotupatia wa kuishi na kuhudumiwa na ndugu Edward Ngoyai Lowassa, wakati wa uhai wake ametoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu, na ameacha alama zitakazokumbukwa daima. Shukrani kubwa tunayoweza kuitoa kwake kwasasa ni kumuombea kwa Mola aiweke roho yake mahala pema peponi” -Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.

View attachment 2902634

📹 AzamTV
Huyu mzee anababaika sana, angekaa kimya ingekua busara, aache unafiki
 
Hakuna aliyemjua Lowassa na hakuwa na umaarufu. Tishio la Kikwete llikuwa Malecela na Cleopa Msuya. Lowassa alipata umaarufu mkubwa kipindi Cha Mkapa na mwaka 2005 alijua asingeweza kushindana na Kikwete ndio maana akakubali kuungana na Kambi ya Jakaya
Hakuna aliyenjus Mkapa pia.

Lowassa na kikwete walikuwa na umaarufu karibu sawa. Malecela alikuwa zaidi kwasababu alikuwa waziri mkuu.

Yeyote kati ya Lowassa na JK angeweza kushinda.
 
Na ndiyo maana ule ugonjwa wake wa kuanguka umemrudia kwa kasi siku hizi anaanguka kila wiki na yule mlinzi wake aliyekuwa mtaalamu wa kumdaka ameshatangulia mbele ya hadi,ipo siku ataanguka apigize kichwa kwenye tiles kipasuke au labda awe anavaa helmet muda wote.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Angalia hili hater lilivyokuwa frustrated vibaya!! Kimsing8 kikwete mmeanza kumuombea kifo muda mrefu saaaana. Yupo ni kwa vile tu Mungu ndiye anayemsimamia na si binadamu WASHENZI NA MAJUHA KAMA NYIE. Halafu huyo Kikwete akiondoka frustrations zenu mtatolea wapi?!!!
 
Kwanza huo ni uchawi,ukiachilia mbali JK kwani hotuba za viongozi wengine wamesema kuwa walienda kumuona mgonjwa?

Wewe unajuaje kama JK hajaenda kumuona mgonjwa?namna ambvyo Lowasa amekuwa anauguzwa familia yake imemaintain privacy,that's why hujaona picha zozote za Lowasa akiwa anaugua au watu wakipiga nae picha hata family yake alipokuwa anaugua.

Pili, unaposema Jakaya kahusika kumuua labda Kwa sababu za kisiasa,na hao Kina Nyerere ambao walimkata Jina lake miaka hiyo utasemaje?Hizo ni siasa,hata Raila Odinga anachanga karata zake kila awamu ili awe Prezoo,siasa Zina consequences zake,siyo kila unachopanga lazima kiwe,Urais Mungu anapanga,hata kifo pia.

Tatu,unasema kifo Cha Mkapa na Magufuli anahusishwa navyo how?

Huo ni uchawi,na mchawi kule kwetu lindi dawa yake ni kupigwa Tigo tuh...
Unateseka ukiwa wapi mamaeee
 
Back
Top Bottom