Mchonganishi Emanuel NchimbiNimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Halafu kuna LINAFIKI moja juzi, lizee hivi, eti linasema ukiacha Nyerere mwanasiasa aliyefuata kwa kuwa na ushawishi katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni Lowassa. Dah, yaani aibu niliona mimi aisee!Hakuna aliyemjua Lowassa na hakuwa na umaarufu. Tishio la Kikwete llikuwa Malecela na Cleopa Msuya. Lowassa alipata umaarufu mkubwa kipindi Cha Mkapa na mwaka 2005 alijua asingeweza kushindana na Kikwete ndio maana akakubali kuungana na Kambi ya Jakaya
Si sheria, but he was his best friend. We expected so.Taja kifungu cha sheria kinachomtaka akasalimie Wagonjwa [emoji209]
We ndo wa leo kabisaa!!! Kwamba el alimzidi jk umaarufu?!!! Aisee kuna vitoto humuuu, dah!Naona we ni wa juzi tu! JK alimzidi EL?
Aya ya mwisho umedanganya. Walikuwa mahasimu wakubwa kiasi cha Lowasa na JK kutowasiliana.Eti Lowassa ndiye aliyempa Urais Kikwete! Utakuwa mzaliwa wa miaka ya 2000. Jakaya tayari alishakuwa kwenye mstari wa Urais toka miaka ya mwanzo ya tisini na hapakuwa na mtu aliyekuwa anamzidi umaarufu na kukubalika kama Jakaya ndani na nje ya CCM. Mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kikwete kuchukua urais mwaka 1995 alikuwa Hayati baba wa Taifa. Lowassa na Rostam waliona fursa na sio kumpa Urais.
Na sio lazima aseme alienda kumtazama. Nje ya siasa hao watu waliendelea kuwa Marafiki na wanajua a faulo walizochezeana.
Hakuona haja ya kurudia yale aliyokwisha kuongea (na alilisema hili), lakini si kwa sababu ya kuogopa hizo comments za hivyo viwananchi vichache vyenye njaa na uchawi.......jk ni mwamba wa siasa hastushwi wala hagadhibiki na viwatu kama hivyo. Alitukanwa na wanafunzi mara kibao (wa vyuo vikuu) lkn ndo kwanza aliwapigania kwz kuwapa hela zaidi za kujikimu na baadae kuwaajiri kabisa. Wengi wa watukanaji wake wa sasa ndo hao.Yaani jana kikwete kaongea sifa kibao za Lowassa wakati anahojiwa na wanahabari , comments za wananchi sasa nadhani leo ndio maana wakati wa kuaga kufunga mdomo hajaongea kabisa..
Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Kwanza huo ni uchawi,ukiachilia mbali JK kwani hotuba za viongozi wengine wamesema kuwa walienda kumuona mgonjwa?Mzimu wa Lowassa utamtesa sana Jakaya,kwani bila kupepesa maneno,mateso,madhira aliyoyapata Lowassa yana mkono wa Jakaya.hata akatae namna yoyote ile,dunia na watanzania karibu wote wanafahamu hilo.
Hata kifo cha Mkapa na Magufuli anahusishwa pia,hii si nzuri kwa afya ya akili yake,
Rejea Blaise Compore alichomtenda Thomas Sankara
Umeongea kitu muhimu sana chief. Ukinipga umenionea ukiacha umeniogopaWale wote waliokuwa wanasema JK hakuwa na ubavu wa kumkata Lowassa ndani ya CCM na kumzuia nje ya CCM ndio hao hao sasa wanamtukana JK kwa kuwa na ubavu huo na kuutumia
JK no jabali hasa la Siasa ndani ya Nchi yetu lakini hakuwa na roho mbaya ya kushughulika na utajiri wako
Tehetehe!Nongwa
Nawewe mleta mada mbona hujatoa pole kwa wafiwa?
Unajua kabisa familia imeondokewa na mpendwa wao ila hamna sehemu yoyote umetoa pole kwa ndugu wa marehemu? ni haki kweli hii, mbona huna uungwana na utu ndugu mtangazaji?
Hicho nimeandika hapo juu hakitofautiani sana na tuhuma zako kwa JK.
Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Rafiki ni Yesu KristoSi sheria, but he was his best friend. We expected so.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Duuh..kwahiyo mtu akigogwa na gari barabara ya Nyerere..nyerere ndio kausika?
KabisaNimeona video akiaga mwili nikasema siasa ni mbaya sana. Familia ya Lowassa wana waamini Chadema kuliko CCM
Mbona hotuba ya warioba Iko wazi!Wale wote waliokuwa wanasema JK hakuwa na ubavu wa kumkata Lowassa ndani ya CCM na kumzuia nje ya CCM ndio hao hao sasa wanamtukana JK kwa kuwa na ubavu huo na kuutumia
JK no jabali hasa la Siasa ndani ya Nchi yetu lakini hakuwa na roho mbaya ya kushughulika na utajiri wako
ππππTaja kifungu cha sheria kinachomtaka akasalimie Wagonjwa πΌ
Kila ubaya utalipwa asipolipa yeye kitalipa kizazi chakeAya ya mwisho umedanganya. Walikuwa mahasimu wakubwa kiasi cha Lowasa na JK kutowasiliana.
Emanuel Nchimbi alijaribu kumrubuni Lowasa ajishushe apatane na JK, lakini Lowasa alikataa kabisa.
Msikilize JK kwenye maneno yake. Hapakuwa na mawasiliano kati yao. Kwa Membe alisema waliongea kwa simu. Kwa Magufuli alisema alipewa taarifa ya kifo. Ni mnafiki kama wazungu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app