Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Limemkuta jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia tofauti ya African union waliokuwa wanaigombania Nyerere na Nkuruma na huo umoja wa Afrika aliokuwa anaupambania ghadafi. Fuatilia misaada mingi aliyokuwa anatoa kwa nchi za kiafrika mingi ilikuwa inalenga kwenye nini?Kwani ina maana gadafi alitaka kuleta huku afrika arab,nazation na sio umoja wa afrika???
Kafa MTU mzuri ndo maanaKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Si kuelewi ustadhat, unamkubali idd Amin unamktaa magufuli, seriously?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Kumbe!Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Kanisa Moja Takatifu la MitumeHujajifunza kitu?
Ni mtu na mdogo wake damu damuKabla ya hiyo 1990's jamaa walikuwa marafiki tayari.
Magufuli ndiye Mkristo pekee aliyekagua Ujenzi wa Msikiti na kutoa ushauri zifungwe AC!Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Musiba angekuwa mtu mbaya JK asingemuozesha mke!Kwa maana hiyo hata Musiba na Bashite ni "wema sana".
Sikushangai, ni walewale.
Musiba kaoa mtoto wa Kikwete?Musiba angekuwa mtu mbaya JK asingemuozesha mke!
Hizi habari ni zile za kwenye movie ya Idd Amin?Angekuwa mwema asingekata vichwa vya binadamu wenziwe na kuvitia katika jokofu. Yule mama wa kiizrael( 90 minutes at Entebe Mary, Kichwa cha rpc wa west lake region " kagera Afande Pope 1971)
Unakumbuka aliwafurusha Waasia?
Nimekukumbusha kwa uchache sana.
Kwani JK ni mwema?Musiba angekuwa mtu mbaya JK asingemuozesha mke!
Na hapa ndipo wanausalama wanatakiwa kukusaidia.Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo nchini kwa sasa ni KIKWETE.
Huyu ndio shida kubwa na chanzo cha ufisadi na kushindikana kuwajibishwa mafisadi. Wizara zote CAG alizotaja kuhusika na ufisadi wa kutisha ni vijana wa Kikwete aliyeiteka CCM na mtandao wake wa uhalifu.
Huwaga najiuliza kwanini Hawa watu wameamua kuficha huu undugu kiasi hichi?M2 na mdg wake sio marafiki jamaa alikuwa moslem akabadili din km kipara anavotaka kufanya
Hii ishu ni ndefu sana Nyerere alitumika pasipokujua kuwa anatumika.Kama Iddi Amini alikua ni Mtu mwema,Nini chanzo cha Vita ya Kagera!!? Unataka kusema Nyerere ndiyo hakua Mtu mwema hadi akamvamia Amini na kumchapa!!?
Huyu ilikuwa ghafla sana yaani kaumwa ghafla ile wanamkimbiza hospitali kufika mtu chaliTunasikia jpm aliongozwa Sala ya Toba ila huyo mzoga gang wa Jana hajaomba atakuwa anashugulikiwa kuzimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtu mwema haachi kufanya mema kwa kila mtu.Musiba angekuwa mtu mbaya JK asingemuozesha mke!
Sikuelewi.Kanisa Moja Takatifu la Mitume