Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Kwani ina maana gadafi alitaka kuleta huku afrika arab,nazation na sio umoja wa afrika???
Fuatilia tofauti ya African union waliokuwa wanaigombania Nyerere na Nkuruma na huo umoja wa Afrika aliokuwa anaupambania ghadafi. Fuatilia misaada mingi aliyokuwa anatoa kwa nchi za kiafrika mingi ilikuwa inalenga kwenye nini?
 
Kafa MTU mzuri ndo maana
 
Unampangia mtu cha kujieleza????huko ni kukosa kazi ya kufanya,sasa kama huyo uliyetaka aelezewe kwa kirefu hakuwa mtu wake wa karibu????
 
Magufuli ndiye Mkristo pekee aliyekagua Ujenzi wa Msikiti na kutoa ushauri zifungwe AC!
 
Hizi habari ni zile za kwenye movie ya Idd Amin?
 
Na hapa ndipo wanausalama wanatakiwa kukusaidia.
 
Kama Iddi Amini alikua ni Mtu mwema,Nini chanzo cha Vita ya Kagera!!? Unataka kusema Nyerere ndiyo hakua Mtu mwema hadi akamvamia Amini na kumchapa!!?
Hii ishu ni ndefu sana Nyerere alitumika pasipokujua kuwa anatumika.

IDD akikuwa hawapendi ngozi nyeupe; ukianzia hapo unaweza kuelewa.
 
Tunasikia jpm aliongozwa Sala ya Toba ila huyo mzoga gang wa Jana hajaomba atakuwa anashugulikiwa kuzimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu ilikuwa ghafla sana yaani kaumwa ghafla ile wanamkimbiza hospitali kufika mtu chali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…