Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Una uhakika urais wa JPM ulihidhinishwa na JK?
Unafikiri Mwenyekiti wa CCM wakati ule na rais angeamua kumwondoa JPM kwenye mchakato isingewezekana kwa katiba mbovu tuliyonayo na madhaifu mengine mengi tu? Mbona Nyerere alimuidhinisha Mwinyi kirahisi tu, si fikra za mwenyekiti?
 
Unafikiri Mwenyekiti wa CCM wakati ule na rais angeamua kumwondoa JPM kwenye mchakato isingewezekana kwa katiba mbovu tuliyonayo na madhaifu mengine mengi tu? Mbona Nyerere alimuidhinisha Mwinyi kirahisi tu, si fikra za mwenyekiti?
Thubutu!

Mkapa alikuwa pale
 
🚮🚮
 
Ilani ya CCM ilikuwa inasemaje kuhusu wapinzani kama Lissu, Mbowe na vyama vyao?
 
Udini unakutesa sana, umekula akili yako yote.
Ikiwa kwa "udini" unamaanisha Uislam, elewa kuwa Uislam ni mwema sana.

UsomenUuslamuulewe ni nini, ukiuelewa utajuta kwanini umechelewa kuwa Muislam.

It's never too late in Islam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…