Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Muda mwalimu yeye aendelee kukenua tu, binocular vision
Niliandika maelezo yamhusuyo mzee makamba na sio JK
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mwalimu yeye aendelee kukenua tu, binocular vision
Sukuma gang mnawashwa kitu gani?Bado yule anajifanya ataki kuitwa mstaafu
Mbingu na adhiSasa JK na JPM wapi na wapi ukicompare na kwa BM kwa JK [emoji3575]
Lilikufa JiweJasusi bobezi
Wazuri hawafi
Utalipiwaje mahari na mwanaume Mwenzio???????Ikiwa gadafi alikuwa mjinga kwa kulipia wanaume mahari kama usemavyo je wewe unakuwa nani? Salaam kwa wenzio wa Upinde
Unafikiri Mwenyekiti wa CCM wakati ule na rais angeamua kumwondoa JPM kwenye mchakato isingewezekana kwa katiba mbovu tuliyonayo na madhaifu mengine mengi tu? Mbona Nyerere alimuidhinisha Mwinyi kirahisi tu, si fikra za mwenyekiti?Una uhakika urais wa JPM ulihidhinishwa na JK?
Thubutu!Unafikiri Mwenyekiti wa CCM wakati ule na rais angeamua kumwondoa JPM kwenye mchakato isingewezekana kwa katiba mbovu tuliyonayo na madhaifu mengine mengi tu? Mbona Nyerere alimuidhinisha Mwinyi kirahisi tu, si fikra za mwenyekiti?
🚮🚮🚮Mnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
🚮🚮Thubutu, cheza na Kikwete wewe.
Uliiona ccm ina uhai wakati wa Mwendazake? Au tuliiona demokrasia ikiminywa?
Usililojuwa ni usiku wa kiza.
😂😂😂🚮🚮🚮 Ng'ombe kweliMsilolijua ni moja tu. Magufuli alikuwa anatumikia kusudi la Mungu.
Udini unakutesa sana, umekula akili yako yote.Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Ndiyo maana yake[emoji3]Wa mbele anakuwa nyuma
🚮🚮Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Ilani ya CCM ilikuwa inasemaje kuhusu wapinzani kama Lissu, Mbowe na vyama vyao?Magufuli alikuwa anatimiza ilani ya Ccm, soma kwanza ilani inasema nini ndio uje kukakita mauno hapa.
Mgombea Urais anapoomba kura anashika ilani na kuahidi kutekeleza mazuri yaliyopo ndani ya ilani, na katika waandishi wa ilani ya Ccm yupo pia Mzee Wasira, msingoje afe ndio muelezwe msiyoyajuwa.
Au kwakuwa alikuwa ni muislamu?Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
We ni Don Moen wa buza si bureKuna wakati unajibu kwa munkari kama mkeo kakunyima uchi...tulia tulia Matola jibu bila mihemuko
Ikiwa kwa "udini" unamaanisha Uislam, elewa kuwa Uislam ni mwema sana.Udini unakutesa sana, umekula akili yako yote.
Ma shaa Allah, Uislam ni mwema sana.Au kwakuwa alikuwa ni muislamu?