kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwanza magufuli na kikwete wapi na wapi ,aliyetakiwa kumwelezea vizuri magufuli pengine alikuwa Mzee mkapa sio kikweteUmenena vyema kabisa
Wakati wa JK hata madera ya CCM mlikuwa hamuyavai, chama kilikuwa kinamfia mheshimiwa hilo si la uongo bibiHuko hakuna ndoto, ni reality tu. Ndoto zinaishia hapahapa kwenye uhai.
Acha kupindisha kauli ya mxee wa Lushoto bana, yeye alikuwa na maana nyingine na unvyopindisha wewe na ndio maana akawataja wazuri hadharani, usitake kutufanya vichwa vya panzi.Huo msemo una maana kubwa sana kwa mwenye kuuelewa, kwa ufupi maana ya huo msemo ni kuwa mtu mzuri anafariki, hafi, kwa maana legacy yake haifi, inaendelea kubaki hai.
Legacy ya mtu siyo majengo au mali alizoacha, ni mema yepi aliyoyaacha ambayo yanadumu.
Lugha zina utamu wake.
Fayza Fox ni mbaguzi wa kidini sanaAcha kupindisha kauli ya mxee wa Lushoto bana, yeye alikuwa na maana nyingine na unvyopindisha wewe na ndio maana akawataja wazuri hadharani, usitake kutufanya vichwa vya panzi.
Atakuwa anawaza atakayefuata katika mwendelezo huo.Kikwete ameumia mwenzake kufa.
Naona shetani Anatukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unapovu au Kuna mbwa wako kafariki ivi karibuni[emoji1787][emoji1787]Mpumbavu nao ni kipaji! Ushetani wa yule muhutu nani anautaka tena!
Oh kumbe wewe ndiye yule mchepuko wa shetani!Naona shetani Anatukana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unapovu au Kuna mbwa wako kafariki ivi karibuni[emoji1787][emoji1787]
Labda mwema nyumbani kwake na familia yake lakini kwa wananchi alikuwa shetani kabisa wewe fikiria mtu mwenye akili timamu anafanya operation ya kukamata vilema wote na kwenda kuwatupia kwenye mto,huyo ni mtu?Msipende kutetea vitu vya kijinga.Iddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Walewale tu kasoro nchi tu.Ila za JPM ni zaukweli?
Huko ndiko ukisikia kusomea ujinga.Labda mwema nyumbani kwake na familia yake lakini kwa wananchi alikuwa shetani kabisa wewe fikiria mtu mwenye akili timamu anafanya operation ya kukamata vilema wote na kwenda kuwatupia kwenye mto,huyo ni mtu?Msipende kutetea vitu vya kijinga.
Mlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo😂😂
Huko ndiko ukisikia kusomea ujinga.
Umejazwa ujinga na umekujaa.
Ebu wacha ujinga wako wewe bimkubwaHuko ndiko ukisikia kusomea ujinga.
Umejazwa ujinga na umekujaa.
Wachana na huyo mdini wa kiwango cha lamiNashukuru kuwa mjinga kwa mambo yaliyo wazi,kama nimekukwaza nisamehe bure ila ujuwe kuwa UONGO hauna shahidi.
ACHA CHUKI, ROHO MBAYA, NA AKILI MBOVU; Mh. Kikwete alitoa hotuba ndefu sana wakati wa mazishi ya JPM mpaka watu wakamwambia anataka kukufuruKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Hilo ni vuvuzela la sukuma gang hivyo chuki kwake haziwezi kuishaACHA CHUKI, ROHO MBAYA, NA AKILI MBOVU; Mh. Kikwete alitoa hotuba ndefu sana wakati wa mazishi ya JPM mpaka watu wakamwambia anataka kukufuru
Nani sasa kawawa???Hapana si yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila na yeye nikipindi cha awamu ya kwanza au yapili aliwahi ingia humo, akawa Rashid [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Aiwewe vipi tena? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unganisha comment humu humu utamjua , wala sio Mzee kawawa yule sikuwahi sikia kama alikuwa na tamàa ya uraisNani sasa kawawa???