FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nimeishi tawala zao.Si kuelewi ustadhat, unamkubali idd Amin unamktaa magufuli, seriously?
Huwezi wafananisha hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishi tawala zao.Si kuelewi ustadhat, unamkubali idd Amin unamktaa magufuli, seriously?
Wengine wanasema JK na BM wame share Baba Mama tofauti,sema BM yeye alikua anatumia ubini wa Mama yake!!Huwaga najiuliza kwanini Hawa watu wameamua kuficha huu undugu kiasi hichi?
Ukweli ni kwanba JK na BM ni mtu na mdogo wake, wanashea mama.
Ebu tutolee usukuma gang wenu kuleKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Tangu lini mtu mwenye roho mbaya akawa na rafiki muungwana?Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Ajuza upo? [emoji2] [emoji4] [emoji3]Kikwete alipitia changamoto zipi za kimaisha na Magufuli?
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Akiwa na akili ataufuta huu uzi wake wa kijingaGenta pumzisha fuvu
Ebu wacha muendelezo wako wa kibaguzi hapo wewe bimkubwaKipi kirefu alichoelezea Kikwete hapo? Mbona naona nukuu ya sentensi moja tu? Au una lako jambo moyoni?
Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Huna haki yoyote ile kumchagulia mtu nini akiaminiMnaota.
Hiyo ni wishful thinking.
Kifo hakina mwenyewe. Anaetupa na kuutwaa uhai ni mmoja tu.
Huna ujuwaloIddi Amin alikuwa ni mtu mwema sana, usisikilize propaganda za kujazwa ujinga.
Jiwe linapogeuka vumbiMlishangilia kifo cha jpm, haya mzoga wenu huo hapo[emoji23][emoji23]
AjuzaAah inauma eeh?
Huna lolote la kumfanya mtu alichuke kujifunzaHujajifunza kitu?
Kweli kabisa. Hujakosea,Huna haki yoyote ile kumchagulia mtu nini akiamini
Sijakuelewa mwandiko wako, unaandika Kiswahili au?Huna lolote la kumfanya mtu alichuke kujifunza
Natumai umeona majibu ya hii hoja yakoKatika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.
Sijakuelewa mwandiko wako, unaandika Kiswahili ? "alichuke" ndiyo nini?Huna lolote la kumfanya mtu alichuke kujifunza
Lile lilikuwa haini na hizi kuuu.Katika Mkeka wako nimetafakari mara mbili mbili hasa pale Ulipoandika nanukuu...."Mimi (Wewe) na Marehemu Membe kwa nyakati tofauti mlipitia Changamoto (Misukosuko) ya Kimaisha ila mkapeana moyo".... mwisho wa Kukunukuu.
Binafsi kama GENTAMYCINE imenibidi nianze kutafuta kama kuna Mkeka wako wowote ule uliuandika pale Rais wa Awamu ya Tano Dk. John Pombe Joseph Magufuli alipofariki dunia tarehe 17 Machi, 2021 ila sijaupata hadi hivi sasa.
Hata hivyo Pole sana Kaka Mtu JMK.