Kikwete na Kinana wamtaka Kubenea na MwanaHalisi Kuomba Radhi kwa madai ya kuwalipa wanaopinga Mkataba wa Bandari

Huyu Kubenea aliponea chupuchupu macho yake kupofuka kabisa kwa kumwagiwa tindikal katika awamu ya nne.

Sasa kwa uchokozi huu mwingine kwa watu wale wale, Kubenea anaweza kupumzishwa kabisa.



Mwenyezi Mungu amuepushie mbali asipatwe na mabaya.
 
Same mistake ya dodo, sijui kwanini hatujifunzi.
 
Hawa wazee wanajisafisha kwa umma kupitia gazeti la kibaraka wao Said kubenea

Ni mjinga na mpumbavu tu atakayeamini Rais samia anaweza kufanya mambo haya bila baraka za kikwete na kinana samia hawezi kufanya kitu chochote nchi hii

Samia anaweza kuteua mkuu wa wilaya bila kumuuliza kikwete lkn sio hili la mkataba unaoelekea kuuza nchi kwa waarabu

Tunajua bila kikwete,samia asingekuwa makamo wa Rais
Hawa wazee wanajisafisha ili baadae wawe wamejiwekea kinga ya kutokuhisishwa.

TANGANYIKA inaangamizwa
 
Kama mheshimiwa KIKWETE anapinga Bandari kuanzia leo nimeacha kupinga uwekezeaji wa Bandari
 
Duh
 
Sukule la wanasiasa uchwara, umekuja kucheua pumba zako ulizomezeshwa na mabwana zako huko porini. Tatizo vijana wengi mnagombania kuwa watumwa wa fikira za wanasiasa uchwara ili mpate viji Like kutoka kwa misukule mingine ya wanasiasa uchwara hao.

Bahati nzuri mods wameufyekelea mbali kwa kuunganisha na uzi wa mtu mungine. Badala ya kutafuta pesa umekalia kuandika majungu kwa wenzako kwa sababu ya kusaka vi Like ambavyo havina faida na wewe kimaisha wala kimaendeleo.
 
Kuna watu hawana albu, hawa wazee wametajwa sana kashfa nyingi lakini hawana aibu nadhani kiburi cha pesa wanazo miliki na vyeo. Yana mwisho ipo siku mungu atasikia manung'uniko ya wanyonge
 
Yawezekana sana hawa wawili, Kinana na Kikwete ndio makuhani wakuu wa matatizo yanayolikumba taifa hili kwa sasa.
 
Kuna watu hawana albu, hawa wazee wametajwa sana kashfa nyingi lakini hawana aibu nadhani kiburi cha pesa wanazo miliki na vyeo. Yana mwisho ipo siku mungu atasikia manung'uniko ya wanyonge
Hapana, tuachane na sifa hiyo ya "unyonge".

Hii ni nchi yetu, hatuwezi kuwa tunachezewa na watu wapuuzi wa namna hii eti sisi ni wanyonge.

Hawa ni watu wa kuwatia adabu.
 
Aidha, barua hiyo imesema Gazeti la Mwana Halisi limechapisha taarifa kuwa Kikwete na Kinana wamekuwa wakiwalipa watu fedha ili waendelee kupinga uwekezaji wa Bandari.
Hii hapa imekaa sawa kweli, au ni mchanganyiko malum, kama kachumbali?

This does not add up.
 
Kwamba hizi sarakasi zote Kikwete na Mwenzake hawajui nini kinaendelea nyuma ya pazia?
watanzania sio wajinga wa zama zile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…