Wapiga makofi wamechomekwa kwa kutawanywa ili wastimulate majirani zap kupiga makofi
Mnamsikia juu ya madini Jamani mpaka wazungu wamalize kuiba ndipo washtuke!!!!!!!!!
mrahaba au mrabaha?
hamna hiyo ,siyo kwa nchi nzima ila kwa selected parties.Eti kwa kutumia mtandao mwalimu mmoja wa Sekondari anaweza kufundisha wanafunzi wote nchi nzima hii sidhani kama hata USA inawezekana...
Wapiga makofi wamechomekwa kwa kutawanywa ili wastimulate majirani zap kupiga makofi
mrahaba au mrabaha?
makofi yanapigwa hata mahali pasipostahili,
tungependa aje dr lwaitama amuombe atatutoe wasiwasi sisi wana ccm wafu juu ya serikali ijayo ya slaa..kwi! kwi! kwi!
makofi yanapigwa hata mahali pasipostahili,