MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Sheria anayojitapa imeeleza kabisa kuwa haitaadhiri mikataba iliyopo so ni mingapi ambayo itaendelea kutuathiri kwa muda mrefu??
Only 4% ya madini yetu inachangia kwenye GDP mnajua hata wazungu wenyewe wanatushangaa???? Kwa nini tusiige walichokifanya Botswana>> Jamani ah
Only 4% ya madini yetu inachangia kwenye GDP mnajua hata wazungu wenyewe wanatushangaa???? Kwa nini tusiige walichokifanya Botswana>> Jamani ah