Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Uvumilivu ni sifa ya kiongozi bora, habebwi na mihemko ya wakati fulani wala hakamatiki kwa mitego ya kisiasa yenye hisia za muda mfupi.Na hii ni Moja ya sifa kubwa na sifa adimu sana ndio maana husikii Samia akihemka Wala kupanic Kwa sababu eti ya vimakelele vya wapuuzi huko Nje..
Samia ni Kiongozi sio mtawala kama Jiwe
Na alitoka hapa dar .na konvyoi ya watu 100 kwa kodi zetu ,bila kushirikisha mwanasheria ndo akaja na huu mkataba eti anafungua nchi.hiyo ni zaidi ya kukurupuka hakikaSamia hana papara lile la kusaini mkataba wa hovyo wa bandari hajaliona? au anafaidi pale ndio maana amekuwa kipofu..
Huyo Jamaa akubali Enzi zake zilishakwisha na aliharibu. Sasa kama na dadake anataka awe hivyo aendelee kupiga porojo tu---
Hivi Ndivyo Kikwete Anavyomfahamu Rais Samia, 'Anaongoza Nchi Vizuri, Ana UtulivuWakati wa kuahirisha kikao cha demokrasia kilichofanyika jijini Arusha, Rais Kikwete ameweza kukumbushia historia ya safari uongozi wa Rais Samia baada ya swali aliloulizwa na mwandishi wa habari wa The Chanzo, Khalifa Said.
Rais Kikwete anakiri kujivunia sana na safari ya uongozi wa Rais Samia, na kumpongeza kuwa anaongoza nchi vizuri. Baadhi ya sifa muhimu alizozitaja ni pamoja na kuwa ana utulivu na hana hasira. Kikwete pia amekumbushia misukosuko katika uongozi wake.
Mmeshafanikiwa kuweka mwanasesere..Na hii ni Moja ya sifa kubwa na sifa adimu sana ndio maana husikii Samia akihemka Wala kupanic Kwa sababu eti ya vimakelele vya wapuuzi huko Nje..
Samia ni Kiongozi sio mtawala kama Jiwe
Kikwete kasema ukweli kabisa. Samia ana utulivu sana. Ni kiongozi hasa maana uongozi ni utulivu---
Hivi Ndivyo Kikwete Anavyomfahamu Rais Samia, 'Anaongoza Nchi Vizuri, Ana UtulivuWakati wa kuahirisha kikao cha demokrasia kilichofanyika jijini Arusha, Rais Kikwete ameweza kukumbushia historia ya safari uongozi wa Rais Samia baada ya swali aliloulizwa na mwandishi wa habari wa The Chanzo, Khalifa Said.
Rais Kikwete anakiri kujivunia sana na safari ya uongozi wa Rais Samia, na kumpongeza kuwa anaongoza nchi vizuri. Baadhi ya sifa muhimu alizozitaja ni pamoja na kuwa ana utulivu na hana hasira. Kikwete pia amekumbushia misukosuko katika uongozi wake.
Alikua na wenge sana yule jamaa.Hata Magufuli mlidiliki kumwita mhe.Mungu,au mnafikili tumesahau?
Tuthibitishie nasi tupate faidaSahivi JK na Rostam wanaiba kwa utulivu haswa hakuna wa kuwasumbua
Wewe mbona unapapara mpaka upigi mswaki kisa mambo ya watuSamia hana papara lile la kusaini mkataba wa hovyo wa bandari hajaliona? au anafaidi pale ndio maana amekuwa kipofu..
Hao ndio wenye nchi.Samia hana papara lile la kusaini mkataba wa hovyo wa bandari hajaliona? au anafaidi pale ndio maana amekuwa kipofu..
Enzi zake haziishi kirahisi hivyoHuyo Jamaa akubali Enzi zake zilishakwisha na aliharibu. Sasa kama na dadake anataka awe hivyo aendelee kupiga porojo tu