Kila anachosema mwanamke mbele ya mwanaume ni kinyume chake, akisema hampendi Juma jua ni kinyume chake

πŸ™πŸ™ Ila naona hatu tofautiani Sana kihakiri na kimapito
 
Mwanamke huwa harisi anapo kutana na mwanaume harisi mkuu
 
Andiko lako lina uhalisia wa 50% vingine apon uongo Mkuu
 
Ni mchezo km michezo mingine ukicheza fyongo umefungwa na opponents ni wawili tu ambao daily wanalala kwenye uwanja mmoja, kuna kuuza mechi, kupewa red card, na michezo mingine michafu
Mbonaa hatarii hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nn kifanyike? Na vipi refa hayupo? VAR hakuna?
 
Nachukua madini hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…