Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mkakinukisha barabarani?Ndiyo maana ilibidi kura zenu mziingize na mabegi ya wasimamizi wa uchaguzi ili kumnusuru Mzee Pombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkakinukisha barabarani?Ndiyo maana ilibidi kura zenu mziingize na mabegi ya wasimamizi wa uchaguzi ili kumnusuru Mzee Pombe?
Alphonce Mawazo mlivyomuua alikua na cheo gani?
mtanzania.co.tz
Wameshazipata.Haya tuma salamu kwa mataga wenzako 686 popote walipo.
Kwahiyo mmekinukisha wapi sasa? Maana mlisema safari hii hapatatosha?Nyumba na makazi yenu yapo barabarani?
Choreograph za aina hii zinanifanya nithibishe kwamba, wanasiasa wamekwisha amini kwamba wana akili kuliko watanzania wengine. Lissu alilalama na kuomba kusindikizwa kurudi TZ. Baadaye karudi na kuingia kwenye kampeni, bila woga akaanza na matusi yake. Sasa eti anahofia usalama! Kwa ujumla naona tuna watu takataka ktk siasa.Lema katawala Arusha miaka kumi akiwa salama kabisa sasa iweje leo kapoteza jimbo ndo aanze sakwa kutishiwa anatishwa na nani wakati hana lolote Arusha?
Acha uongo wewe unadhani wawekezaji ni waoga ka wewe na Lema! Congo DRC ina wawekezaji wengi kuzidi walioko Tanzania na Kenya.Kwa hali hii ukiona mwekezaji mpya analeta pesa zake kuwekeza unitag!!
Watakuja sana, hata Lissu wao alisema hivyo hivyo kiko wapi? Mnapenda kujifariji nyieKwa hali hii ukiona mwekezaji mpya analeta pesa zake kuwekeza unitag!!
Au hata Ben saanane!Alphonce Mawazo mlivyomuua alikua na cheo gani?
Tuliwaambia hawana ubavu wakabisha weshaanza kukimbiwa na akina Lema.Kwahiyo mmekinukisha wapi sasa? Maana mlisema safari hii hapatatosha?
Tofauti na Dangote aliyeingia wakati JK anaishia, mwekezaji gani mwingine kaja.Watakuja sana, hata Lisu wao alisema hivyo hivyo kiko wapi? Mnapenda kujifariji nyie
Well said. Hatuna wanasiasa wa upinzani Tanzania. Wanacheza na kumbe chorus a za mabeberu.Choreograph za aina hii zinanifanya nithibishe kwamba, wanasiasa wamekwisha amini kwamba wana akili kuliko watanzania wengine. Lissu alilalama na kuomba kusindikizwa kurudi TZ. Baadaye karudi na kuingia kwenye kampeni, bila woga akaanza na matusi yake. Sasa eti anahofia usalama! KWa ujumla naona tuna takataka ktk siasa.
Utapata faida gani tukikosa wote?Bora ipoteee tukose wote
Ubarikiwe sana ndugu. Mungu atasikia maombi yetu 🙏🏾.Mungu ameikusudia Nchi hii mambo Mazuri, shetwani kupitia maajenti wake nao wanaitolea udenda Nchi yetu
Kama Mungu alivyoijusuru Nchi yetu na korona, hawezi shindwa kushughurikia mipango ovu ya kishetani ya wapinzani uchwara wakiwa Chini ya mwamvuli wa Beberu
Lugha za kihuni na vijiweni kubuma ndiyo nini peleka huko vijiweni siyo home of great thinkers. Aluta continua ANC walipambana miaka 40 na zaidi walijaribu hili likashindwa walifungwa, waliuwawa, walikimbia uhamishoni (exile) kama nyie mnavyowafanyia washindani wenu wa kisiasa na makaburu wenye nguvu maradufu kuliko nyie wanasiasa uchwara msiotaka ushindani wala kukosolewa , kama hamtaki ushindani mngebaki na wake zenu nyumbani msipingwe na mtu. Election process siyo siku ya kutumbukiza kura ktk sanduku tu, kazi ya mwanasiasa inaanza mara baada ya uchaguzi kuisha.Lema katawala Arusha miaka kumi akiwa salama kabisa sasa iweje leo kapoteza jimbo ndo aanze
Nyie Wapinzani ambao hamjakubali matokeo mbona mna jazba hivyo!?Takataka za kijani from ccm