Kila CHADEMA wanalojaribu linabuma: La Lissu na Lema pia limebuma. Watanzania tunaendelea na maisha

Kila CHADEMA wanalojaribu linabuma: La Lissu na Lema pia limebuma. Watanzania tunaendelea na maisha

Hujui kulikuwa na tashwishi za Uchaguzi Marekani? Huko sasa umeisha.

Ngoja tuone mielekeo ya moto. Ilikuwa kwenye shule za bakwata. Sasa hivi upepo siyo.

Kwamba yamebuma? Kwamba business as usual?

Hata baba Tiffa atakwambia:

"Aaaah Wapi!"
 
Tulia kwenye keyboard yako uirekebishe Post yako ieleweke unachotaka tujue kilichobuma maana Lema amepewa hifadhi Kenya na Lissu amepewa hifadhi ubalozini, na chombo kipi cha habari cha Kenya kilichozungumzia ya Lissu na Lema?
 
Kwa ustawi wa nchi yetu tunatakiwa kushughulika na wahalifu mmojammoja sio chama, wala dini


Tukianza kunyoosheana vidole kwa vyama tutagundua kila chama kina maumivu ya kupoteza mtu wao na haitasaidia wala haitajenga utaifa wetu
Kuna uchungu akiuawa mwanaccm, hao wengine sikitu.
 
Ben Saanane .
Acha huyo tuu, Mawazo alitishwa akaona uzushi akauwawa mchana kweupe na wahusika wengine wako bungeni hadi leo. Lissu alitishwa akasema hawakujali akashambuliwa mchana kweupe na kama Mungu asingekataa Leo ingekuwa historia na wapanga shambulio wapo na wengine wanaishi kwa kodi zetu kwa raha mustarehe. Nk nk.

Kisha hawa wajinga toka CCM wanabeza vitisho ili wanaotishwa wasijihami wauwawe.
 
Lema ana threat gani hadi wamdhuru? Sasa hivi ni mtu wa kawaida, mwenyekiti wa kitongoji kamzidi cheo
Kwa akili yako huoni threat ya Lema kwa utawala kwani ni ndogo.

Lema bado anauwezo wa kuendelea kuifanya Chadema imara kanda ya kaskazini, na magu alitaka ife na kashindwa.
You get the point?
 
Acha huyo tuu, Mawazo alitishwa akaona uzushi akauwawa mchana kweupe na wahusika wengine wako bungeni hadi leo. Lissu alitishwa akasema hawakujali akashambuliwa mchana kweupe na kama Mungu asingekataa Leo ingekuwa historia na wapanga shambulio wapo na wengine wanaishi kwa kodi zetu kwa raha mustarehe. Nk nk.
Kisha hawa wajinga toka CCM wanabeza vitisho ili wanaotishwa wasijihami wauwawe.
Na wewe ulishatishiwa? Mbona hujakimbia au uko mbioni kukimbia?
 
Hata tulipokuwa tunawaambia Lisu havuki 20% mlikuwa mnatukana kama hivi!

Subiri uone sasa kama kina Lema wataambulia chochote,
Kwa hiyo kwa akili yako matokeo ya uchafuzi huu yalikuwa sahihi? Kama hakuwa na uwezo wa kufikisha kura hizo figisu kwa mawakala zilikuwa za nini? Kura feki kwenye mabegi za nini? Kukataa kubandika matokeo kwa nini?
Ngoja ninyamaze! Kubishana na maccm people might not notice the difference, who is the fool.
 
Na wewe ulishatishiwa? Mbona hujakimbia au uko mbioni kukimbia?
Sijatishwa na mamlaka maana mie sio mwanasiasa na pia sio tishio kwa utawala.

Lakini ukinitisha kimtaanitaani na vishati vyako binafsi vya kijani kama wewe binafsi hapo jiandae nitakukamua kinyesi
 
Kwa hiyo kwa akili yako matokeo ya uchafuzi huu yalikuwa sahihi? Kama hakuwa na uwezo wa kufikisha kura hizo figisu kwa mawakala zilikuwa za nini? Kura feki kwenye mabegi za nini? Kukataa kubandika matokeo kwa nini?
Ngoja ninyamaze! Kubishana na maccm people might not notice the difference, who is the fool.
Mmenyooshwa tu acheni kutoa sababu uchwara.
 
Nyie wapinzani ambao hamjakubali matokeo mbona mna jazba hivyo!?
Mm naona ni bora mngekubali matokeo, tupige kazi kufanya maendeleo ya nchi.

Cc wote ni marehemu watarajiwa kwa maneno mengine cc sote tunapita hapa duniani, haijalishi uko chama gani. Tutakufa na kuviacha vyama vikiendelea.
Wakubali matokea feki,cooked results why?

Wakubali dhulma,mauaji na mateso kwa wapiga Kura wao why?
 
Je, Tundu Lissu hakupigwa risasi? Je, hao wahalifu mpaka leo wametafutwa? Tusiwe vichwa wazi
 
Akili ni Mali.

Unaweza ukawa na akili Ila kuitetea CCM linahitaji ujitoe ufahamu. Ben saa nane yupo wapi?

Kabla lisu hajapigwa risasi alitoa taarifa kuwa kuna watu wanamfatilia NANI ALIMUAMINI?.
Wewe upo nyuma ya keyboard unaandika unavyojisikia.

Wenzio wanakumbana na kashikashi.
Juzi tu mbowe kavamiwa na sabaya Nani aliyejali?
 
Kama mnavyo Lazimisha special seats bungeni. Ni kweli wanatushwa sasa unafikiri wafanyaje mfano wa kweli ni kule hai yule mtoto aliejaa laana za wapi sijui alikusudia nini kwa Mbowe?? Pia tuelezwe kwanini aliwachukua walinzi na kuwa jeruhi na kisha kwenda kuwatupa Arusha road!!! Hilo pia mnahitaji maelezo pimbi nyiee fuuquuuu
 
Back
Top Bottom