n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ni ajabu na upuuzi ulioje. Hawa saccos ni watu maslahi tu, hawana lolote la kusaidia watanzania.Lema katawala Arusha miaka kumi akiwa salama kabisa sasa iweje leo kapoteza jimbo ndo aanze sakwa kutishiwa anatishwa na nani wakati hana lolote Arusha?
Watt chini ya miaka mitano wanalipia matibabu??.Sasa dawa za hospital zinahusiana nini kwani hizo dawa wewe unapewaga bure?,visima gani hivyo?
Onasasa unavyojichanganya changanya
Nusu ya miradi ya serikali inafadhiliwa na mabeberu.
Hata kama katiba ya CCM inaruhusu, kwa mtazamo wako hayo maandamano yangekua ni ya amani kwa jazba ile ??Kwani katiba hiyohiyo iliyotugwa na ccm hairuhusu maandamano ya Amani?
Makubaliano Sisi tunawapa madini wao wanatuachima mashimo na makinikiaWatt chini ya miaka mitano wanalipia matibabu??.
Sio miradi yote ya mabeberu ni msaada. Kuna makubaliano ya malipo kati ya serikali na mabeberu.
Kwahy unalazimisha maandamano ya jazba auHata kama katiba ya CCM inaruhusu, kwa mtazamo wako hayo maandamano yangekua ni ya amani kwa jazba ile ??
Yaani hujui madini yetu yanatusaidia nini? Tunashukuru watanzania waliwakataa, mngeweka rehani kila aina ya rasilimali yetuMimi ninaizarau kwasababu viongozi wake si wazalendo,si wakweli nk
Hayo makinikia yanakufaidisha nini?
Hizo Tanzanite zinakunufaisha nini?
maccm na mabeberu wanashirikiana kuwaminya hao wanyonge,endelea kudanganywa na hao maccm
nakusii amka kutoka usingizini tangu mwaka 1961 Hadi sasa bado Sera za maccm ni zilezile!
Tunasemea watanzania siyo kwa uteuzi. Bahati mbaya nyie na wenzako kila kitu mnakiona katika sura tu ya kunufaika nacho kifedha. Hata chama mligeuza kuwa SACCOS na kila siku kulamba mabeberu miguuBro Mhe. Kasema hateui tena makada.
#YNWA
Hapana. Kwa jazba waliyoionyesha wapinzani baada ya kushindwa, hayo maandamano yasingekua ya amani.Kwahy unalazimisha maandamano ya jazba au
Wapinzani walitangaza hadharani watafanya maandamano ya Amani
Nafurahi kuona unalitambua swala la kutuachia mashimo. Hapo utakua umejifunza kuwa mabeberu hawatoi misaada ya bure kama wengi wanavyofikiria.Makubaliano Sisi tunawapa madini wao wanatuachima mashimo na makinikia
Kumbe ni watoto under 5years kwanini isiwe madawa bure kwa wanyonge wote!
Huwezi kusema wapinzani walishindwa wakati mchakato wa kupiga Kura na kuhesabu Kura ulikuwa wa Wizi.Hapana. Kwa jazba waliyoionyesha wapinzani baada ya kushindwa, hayo maandamano yasingekua na amani.
Serikali ya ccm inapewa misaada baada ya hapo wanatoa dhahabu au siyoNafurahi kuona unalitambua swala la kutuachia mashimo. Hapo utakua umejifunza kuwa mabeberu hawatoi misaada ya bure kama wengi wanavyofikiria.
Bado tunaijenga nchi yetu, Tanzania bado haijafikia uchumi wa juu kama developed countries wa kuwa na uwezo wa kutoa matibabu bure kwa wale wenye low income au wasiojiweza.
Wewe ulitaka nani ashinde, CUF, Chadema au ACT Wazalendo?? Maana inaonekana vyama hivyo vilitakiwa kushinda ila CCM kawaibia kura. Mlitaka nchi iwe na maraisi watatu au??Huwezi kusema wapinzani walishindwa wakati mchakato wa kupiga Kura na kuhesabu Kura ulikuwa wa Wizi.
Hizo ni propaganda za maccm kudhani maandamano yangekuwa ya fujo
Kwa maelezo zaidi mtafute waziri wa fedha akudavuvulie vzr zaidiSerikali ya ccm inapewa misaada baada ya hapo wanatoa dhahabu au siyo
Over
Nilitaka yoyote ashinde kwa misingi ya uhalali,haki na uwaziWewe ulitaka nani ashinde, CUF, Chadema au ACT Wazalendo?? Maana inaonekana vyama hivyo vilitakiwa kushinda ila CCM kawaibia kura. Mlitaka nchi iwe na maraisi watatu au??
Kifupi, swala la kuibiwa kura ni propaganda za wapinzani.
Ujinga mtupu miaka yote walikuwapi kuwapa muongozo wananchi.Kwa maelezo zaidi mtafute waziri wa fedha akudavuvulie vzr zaidi
Hizo ni propaganda za wapinzaniNilitaka yoyote ashinde kwa misingi ya uhalali,haki na uwazi
Huwezi akawatoa mawakala wa vyama vingine halafu utegemee ushindi utakuwa wa kihalali na kihaki.
Nimesoma lakini sijakuelewa hapo.Ujinga mtupu miaka yote walikuwapi kuwapa muongozo wananchi.
Wanachadema mioyoni mwao wanataka Magufuli abadili Tanzania iwe kama Ulaya, kwa nje wanampinga. Huu ndiyo unafiki wao.Sawa wameshindwa kwani umeambiwa dunia inaisha badaa ya ya wao kushindwa.safari ya mabadiliko haina kikomo.mmeshabaki wenyewe tunasubiri muigeuze nchi kama ulaya.miaka mitano sio milele.
Sorry mi sina chama.Tunasemea watanzania siyo kwa uteuzi. Bahati mbaya nyie na wenzako kila kitu mnakiona katika sura tu ya kunufaika nacho kifedha. Hata chama mligeuza kuwa SACCOS na kila siku kulamba mabeberu miguu
Lipi la CCM lilishawahi fanikiwa na kuwa faida kwa nchi??? Kulwa ujinga, umaskini na wizi ndio faida. Ninaposema CCM tuna akili uharo ndio hizi. Mtu kavimbiwa kande za mboga anakuja tu kuhara humu. Unaijua CCM wewe. Mjinga wa hedi.CHADEMA kama ilivyo kawaida yao ya kutunga na kutengeneza matukio ya uongo. Wamejaribu kutengeneza ya Lissu, Lema na Nyarandu lakini yote yamebuma.
Watanzania na wajanja duniani wamekwishawagundua kuwa ni walaghai. Wamebaki na kujipa moyo kwenye keyboards zao na vyombo vya habari uchwara vya Kenya ambavyo vina ajenda zao.
Baadhi ya WANACHADEMA na viongozi wao uchwara wanajaribu kutengeneza matukio ya uongo ili kuvuta attention ya wananchi lakini wapi, kila jaribio linabuma. Wengine humu wanashinda kutwa nzima kwenye JF, facebook, Twitter na hata Badoo lakini habari zao zinapuuzwa tu. Watanzania wana akili na Jumuiya ya kimataifa pia zinaakili na zinatambua utoto wenu.
Nawashauri fanyeni kazi. Uchaguzi umeisha.